Isalia213
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,198
- 431
Hii kitu tayari imeshakuwa japo kwa asilimia kubwa inawaumiza wananchi walio wengi ishu yangu ndogo tu hapa vipi zanzibar itapewa pesa hii itajayopatikana katika kodi hii ya uzalendo maana na wao pia wamo katika watakaokatwa hizo pesa,
Je, watalipwa kutokana na kiwango watakao tumia hii hiduma kwa kule zenji au kutakuwa na asilimia fulani watakadiriwa na kupewa au hizo pesa zitakuwa za matumizi ya upande mmoja tu wa muungano kwa maendeleo yao.
Je, watalipwa kutokana na kiwango watakao tumia hii hiduma kwa kule zenji au kutakuwa na asilimia fulani watakadiriwa na kupewa au hizo pesa zitakuwa za matumizi ya upande mmoja tu wa muungano kwa maendeleo yao.