Isalia213
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,197
- 431
Hii ni kweli kwa ufupi tu ninae rafiki yangu tulisoma pamoja na mungu akajaalia hata kazini tupo pamoja mwenzangu amebahatika kuwa mimi nilikua mpambe wake ktk haruc ila hivi sasa mkewe anaonesha ishara za kunitaka hata messege za mapenzi baadhi ya cku ananirushia na kumwambia mumewe cwezi na kutofika kwa rafiki yangu pia ngumu nifanye nini."HII NI KWELI."