Habari za leo wajameni. Hivi kuna njia ya kujua mmiliki wa gari fulani kwa kutumia namba ya gari ? Najua nchi zingine unaweza kufanya hivyo online. Huku kwetu vipi ?
Juzi nimegundua sehemu nzuri kweli ya kupata chakula , chenye international standards at Tz pricing. Huyu dogo alianza kwa kupika samaki kwa style tofauti na pamoja na specialty yake ya Ngisi !! Sasa hivi amediversify na chakula kilichopo sasa hivi includes , seafood , kuku - tandoori style ...
Hivi ni haki kweli kwa nyumba za ibada kukesha huku wakiwa wanapiga muziki kwa sauti ya juu hata kuliko disco? Ile sheria ya kelele usiku imefutwa au? Nakumbuka kuna kipindi kulikuwa na details za wanaohusika kufwatilia mambo haya , maana kwa kweli ni kero! Kuna mwana JF yeyote anayeweza...
Imetumika for only two months . Owner is leaving country and would like to sell it . Any offers ?? USD 700 O.N.O
HP Compaq 6530s Notebook PC .
CPU:Intel Core 2 Duo T5870 (2.0GHz, 2 MBL2 cache, 800MHz FSB)
Screen:14.1 inch Wide 1280 x 800 WXGA BV
Memory:2GB DDR2 800MHz RAM
Operating...
Naombeni ushauri wenu wana sheria. If I want kufungua a new company with a foreigner , kawaida step ya kwanza ni Kuregister Jina la Kampuni . Kwenye form ya kuapply for jina la kampuni , you need to write the names of Partners/Directors in the company . Sasa nimesikia that if you have a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.