Lemunyake
Senior Member
- Sep 24, 2007
- 189
- 28
Hivi ni haki kweli kwa nyumba za ibada kukesha huku wakiwa wanapiga muziki kwa sauti ya juu hata kuliko disco? Ile sheria ya kelele usiku imefutwa au? Nakumbuka kuna kipindi kulikuwa na details za wanaohusika kufwatilia mambo haya , maana kwa kweli ni kero! Kuna mwana JF yeyote anayeweza kutusaidia na contacts zao?