Amina mama D nilishaanza mchakato ameniponyoka last week first trimester, namshukuru Mungu kwa yote. Nimekupenda ghafla, barikiwa sana na familia yako.
Life style zetu zimebadilika mno na hatuweki tena mawazo ya kusaidiwa na watoto,tunainvest kwao na kwa ajili ya future yao ndio maana wengine tunakuwa na kiasi, wazazi wa zamani walikuwa wanazaa mpaka watoto 10 bila wasiwasi na maisha yanasonga
Huyo guru wako mbona wengine hatujawahi kumsikia? Sasa hivi mnalazimisha kila mtu awe celebrity wa taifa hata kama ni wa mtaani kwenu. Haya hongereni kwa harusi
Shaka ana kiherehere mpaka kimepitiliza, anataka kuiga ile style ya Kinana kufuatilia watendaji wa serikali lakini kiherehere chake kinasababisha anavuka mpaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.