nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Ni Mara nyingi ccm imeingilia utendaji wa viongozi iliyowaweka madarakani.Wananchi hawakumchagua mkuu wa mkoa au Wilaya
Watu waliichagua CCM na CCM ndio ikaweka hao watu
Ukimteua mtu akufanyie jambo fukani,maana yake umemwamini,huna shaka nae.
Kumsimamia siyo na wewe kutoa matakamko kinyumbe na ukiyemteua.
Utasikia kiongozi wa ccm anazungukia miradi ya maendeleo,( hili siyo baya)
Zungukia ukiona kasoro,mwite muhusika muhojiane mkosoane na kama kuna tamko mpe akalitoe. Kutoa matamko ni sawa na kujikosoa kwamba hukuwa makini kwenye uteuzi. Kama kuna mtendaji amekosea na unataka aondolewe ipo ngazi ya juu yake iagize hiyo itekeleze ulichoamua.
Utaona kabla ya serikali kutoa tamko,ccm imeshatoa tamko,sasa hao uliowaweka madarakani wanakazi gani?
Ccm ndiyo iliyotuchafulia Mimi yetu toka enzi za magufuli.
Wameona vijana ni wengi hivyo ili kupata kura zao imewaruhusu wafanyebiashara popote bila kujali sheria.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app