kibali
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 504
- 421
Hatutofautiani aisee napenda sana watotoI wish too niwe na watoto hata 10 Ila maisha hayaruhusu
Hatutofautiani aisee napenda sana watotoI wish too niwe na watoto hata 10 Ila maisha hayaruhusu
Hongera aiseee. Watoto raha kweli mimi nafukuzia namba 4Napambana nimeshamfikia sasa natamani twins tena wafike saba
Wapenda watoto tujuane
Umefika 5?
Hongera sana
Nyie ndio mnasababisha wanawake wanakimbilia michina na sajari, kila mtu ni mzuri kwa kadri alivyoumbwa na Mungu.Ila takoless, asitusumbue. Hana hata tako kabisa, tuweke ukweli, mwanamke bila tako hana hamasa kabisa, wazungu wengi hawavutii sbb hawana tako. Mkinuna, nuneni, ukweli mchungu huu.
Amina mama D nilishaanza mchakato ameniponyoka last week first trimester, namshukuru Mungu kwa yote. Nimekupenda ghafla, barikiwa sana na familia yako.
Anavaa fake yale ya ma sponji. Hana tako kabisa Zari. Mie sinyegekagi kabisa na hako kapaka.Analo mbona
Me napenda watoto lkn wawili wanatosha, 😍Napambana nimeshamfikia sasa natamani twins tena wafike saba
Wapenda watoto tujuane😃😃😃😃
Me napenda watoto lkn wawili wanatosha, 😍
Bado sjapata 😔Unao wangapi sasa?
Bado sjapata 😔
Bado sjapata
😉 nitajitahid wawili tuUkipata mmoja ukapata wa pili unaweza kujikuta unatamani zaidi😍😍
Namuomba Mungu Inshaallah atanijaliaUtapata tu ila hangaika
Nilikuwa mpenda watoto hapo kale ila life likanibadilisha mtizamo, nikapitia misukosuko, nikaja kutana na mtu akitaka mbegu, kwa heshima zote Basi nikijaaliwa uzima nitaongeza 2 au 3, nitakuwa na watoto wengi Mungu aniweke niwaone mpk uzee,,,Napambana nimeshamfikia sasa natamani twins tena wafike saba
Wapenda watoto tujuane😃😃😃😃
Nilikuwa mpenda watoto hapo kale ila life likanibadilisha mtizamo, nikapitia misukosuko, nikaja kutana na mtu akitaka mbegu, kwa heshima zote Basi nikijaaliwa uzima nitaongeza 2 au 3, nitakuwa na watoto wengi Mungu aniweke niwaone mpk uzee,,,