Nishawai posti hapa kutafuta ushauri wa kuondoa uchawi
Hivi juzi baada ya mimi kudhani mambo yangu yanaenda shwari, nimefungua duka la branding, nikalipa miezi sita na kuleta machines kadhaa, sasa baada ya kutumia sarafu zangu zote nikaanza kazi ningojee matokeo, nirefeshe mtaji, washenzi wamenirudia, sasa wanataka kuniangusha jindi walivyojaribu awali, ingawa wakati huo sikuwa na chochote.
Nahisi kuudhika pakubwa, ila njama zote za kichawi zinatumika kujaribu kunilazimu nitoke huku, hata sasa kazi imepungua kwani hata jina linaharibiwa kimakusudi. Mie naona sasa dawa nikuje tz nianze upya, lakini wajinga hawa wapate adabu mpaka waangamie. Ni kazi zipi mkenya yuaweza akazifanya huko, hapa mimi nishafanya sales za mikopo, I'm a graduate. pia kuna vitaa flani mimi hutengeneza, sijui kama vipo huko, I'll attach a video mvione.
I'm seeking guidance into tz life, and lile jiji nzuri la kuanzia. sijawai ona watu walio wivu kiwango hiki, jamani jua wakenya ni watu useless. usishangae hawaendelei ikiwa vijana wanaangamizwa na kurudishwa nyuma hivi. a r gh
https://jamii.app/JFUserGuide KENYA.
nipeni mawaidha ya huko. pia nataka nipate waganga mashuhuri wa huko, wanifanyie kisasi. This should not be allowed to happen, bila consequences.
Hivi juzi baada ya mimi kudhani mambo yangu yanaenda shwari, nimefungua duka la branding, nikalipa miezi sita na kuleta machines kadhaa, sasa baada ya kutumia sarafu zangu zote nikaanza kazi ningojee matokeo, nirefeshe mtaji, washenzi wamenirudia, sasa wanataka kuniangusha jindi walivyojaribu awali, ingawa wakati huo sikuwa na chochote.
Nahisi kuudhika pakubwa, ila njama zote za kichawi zinatumika kujaribu kunilazimu nitoke huku, hata sasa kazi imepungua kwani hata jina linaharibiwa kimakusudi. Mie naona sasa dawa nikuje tz nianze upya, lakini wajinga hawa wapate adabu mpaka waangamie. Ni kazi zipi mkenya yuaweza akazifanya huko, hapa mimi nishafanya sales za mikopo, I'm a graduate. pia kuna vitaa flani mimi hutengeneza, sijui kama vipo huko, I'll attach a video mvione.
I'm seeking guidance into tz life, and lile jiji nzuri la kuanzia. sijawai ona watu walio wivu kiwango hiki, jamani jua wakenya ni watu useless. usishangae hawaendelei ikiwa vijana wanaangamizwa na kurudishwa nyuma hivi. a r gh
https://jamii.app/JFUserGuide KENYA.
nipeni mawaidha ya huko. pia nataka nipate waganga mashuhuri wa huko, wanifanyie kisasi. This should not be allowed to happen, bila consequences.