Halo wanna intelligent,
Lengo la kuja hapa ni kukupa taahadhari Kuna jumbe feki zinatembea mitandao ya kijaamii kua unicef Africa inagawa hela za bure kwa watu huo ni utapeli na UNICEF wamesema hawafanyi huduma hio watu wanaingiliwa acc Kisha inaandika umepokea mill 2700000 from UNICEF hao ni...
Habari watu wangu wa nguvu,
Tangu hapo awali technolgia imekuwa inakua kwa kasi kubwa sana kiasi cha kuwa na akili bandia kutumia roboti kufanya kazi na shughuli na kijeshi na intelligence project kufikia kote huko mwanadamu ameshindwa kutengeneza technology ya kuzungumza na wafu imekwama...
Halo marafiki poleni na urefu wa mwaka uliofikia ukingoni
Tuende kwenye mada fupi sana lakini utapata lolote litakalo kusaidia maishani mwako baadae
Usigeuke nyuma utakuwa jiwe la chumvi sio ujembe wa kwanza kuusikia masikioni mwako ktk kisa cha maangamizi ya sodoma na gomora wakati lutu...
Napenda kukutakia heri ya mwaka mpya wa Ishirini Ishirini,
Leo napenda Leo tuzungunze juu wanasayansi wanavyofanya Ili kuuokoa ulimwengu na mwisho wake
Kwanza napenda ujue wataalamu kama Albert Einstein's, Howking waliamini hakuna Mungu pia biblia ni hadithi za kale tu.
Tukianzia mbali kidogo...
Habari za Siku ndugu wana jamii naamini. Muu wazima wa afya
Leo nimependa tuongelee.tecnologia.niliyo isikia imeanza kufanyiwa project kama inaweza kufanyika kama njia rasmi ya usafiri maarufu kama tecknologia toeshi " hii ni usafiri ambao mtu hutoeka na kutokea eneo analopaswa kwenda yaani...
Wadau habari za muda huu
Mimi nimepata mpenzi siku za karibuni lakini ninachopata taabu ni kuwa huyu Dada sio msafi hata kidogo hasa nguo za ndani.
Ni mzuri lakini hili tatizo limekuwa kero kwangu. Anaweza kuoga akimaliza anarudia chupi ile ile hata siku nne, ukimuuliza anasema nisijali...
Salamu wanajukwaa. Natumaini mu wazima
Leo kama mdau ningependa kwa heshima na taadhima kuomba wizara husika kutafakari hili swala la salama ya kitaifa hapa Tanzania
Salam ya "shikamoo" sio salama mbadala kwa nchi yetu has a baada ya kupata Uhuru kwa wengi tunaitumia tu hatujui maana yake kwa...
Salamu wanajamii....!
Huku tukielekea uchaguzi mkuu 2020 mpe neno mbunge wako jimboni na kutaja jina lake na jimbo kama 2020 atabaki salama au la....
Naanza na mimi mbunge wangu moshi v' usijaribu tena kuja. Maana hatapata chochote
Habari wana MMU
Siku zote hela ni chumvi katika chakula hivyo kumbe chakula kinaweza kuliwa bila chumvi lakini hakitakuwa na ladha yake lakini la maana kushiba
Wewe mwanamke ikiwa mwanaume wako amekosa kukupa hela ya saloon shopping nk iwe mwanzo wa kutafuta kazi nasio. Mwanaume mwingine""
Hawa wanazuoni wametudanganya juu ya hii miaka ilioko. Leo hii hata huu mwaka tulionao sio mwaka 2019 itabidi wataalamu hata wa humu akina Jr mshana Rakism Kiranga na wengine wathibitishe hili.
Kama Yesu alizaliwa mwaka 0 na kufa mwaka 34 iweje tuseme alikufa miaka 2019 iliopita
Yesu alikufa...
Jinsi adhabu ya kusubishwa ilivyoondoshwa hapa duniani ilikuwa ni desturi ya Wayahudi hata Warumi kuhukumu watu kusulubishwa katika msalaba waliokutwa na makosa mbalimbali kama
Kutaka kupindua dola
Kumtukana kaisari
Uhaini na uchochezi nk pia vilisababisha maelfu kusulubishwa
Asili ya watu...
Amani kwenu wanajamii
Ni hatari kubwa sana kama kama muda huu vyama vya upinzani hasa chama kikuu cha upinzani CDM kutokujulikana nani atakaye peperusha bendera ya Uraisi 2020 hii inaipanguvu serikali iliopo madarakani kujua hakuna anayeweza kututingisha jambo ambalo ni gumu kulielewa ni kua ni...
Ukweli usiopingika nikua Raisi aliepita Mh Dr Jakaya Kikwete alikuwa rais bora na mwenye malengo yenye tija kwa taifa zaidi ya rais alieshika hatamu Dr John Magufuli ambaye amekua mwiba kwa wananchi wake hii inatokana na Mh JMK aliekuja na kauli ya
Nguvu mpya
Kasi mpya
Ari mpya+ Maisha bora kwa...
Salama wana jamii, amani na iwe juu yenu.
Nimependa leo nije na uzi huu juu ya sifongo. Na siki. Jambo ambalo halijazungumziwa sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth. Pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji, ambapo alipewa sifongo yenye siki. Utajiuliza ni kwanini alionja tu ile sifongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.