Nibiru X
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 410
- 369
Hawa wanazuoni wametudanganya juu ya hii miaka ilioko. Leo hii hata huu mwaka tulionao sio mwaka 2019 itabidi wataalamu hata wa humu akina Jr mshana Rakism Kiranga na wengine wathibitishe hili.
Kama Yesu alizaliwa mwaka 0 na kufa mwaka 34 iweje tuseme alikufa miaka 2019 iliopita
Yesu alikufa miaka 1985 iliopita (2019-34=1984) hivyo huu ni mwaka 1985
Kama Yesu alizaliwa mwaka 0 na kufa mwaka 34 iweje tuseme alikufa miaka 2019 iliopita
Yesu alikufa miaka 1985 iliopita (2019-34=1984) hivyo huu ni mwaka 1985