Ujumbe mkubwa sana Wanawake wote hapa duniani

Ujumbe mkubwa sana Wanawake wote hapa duniani

Nibiru X

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
426
Reaction score
437
Habari wana MMU
Siku zote hela ni chumvi katika chakula hivyo kumbe chakula kinaweza kuliwa bila chumvi lakini hakitakuwa na ladha yake lakini la maana kushiba

Wewe mwanamke ikiwa mwanaume wako amekosa kukupa hela ya saloon shopping nk iwe mwanzo wa kutafuta kazi nasio. Mwanaume mwingine""
 
Habari wana MMU
Siku zote hela ni chumvi katika chakula hivyo kumbe chakula kinaweza kuliwa bila chumvi lakini hakitakuwa na ladha yake lakini la maana kushiba

Wewe mwanamke ikiwa mwanaume wako amekosa kukupa hela ya saloon shopping nk iwe mwanzo wa kutafuta kazi nasio. Mwanaume mwingine""
😂 😂 😂 😂 😂 mtuacheeee
 
Hahahahahahaha umeshindwa majukumu wajanja wamekusaidia. Pole sana vumilia yatapita.....
Cha msingi we tafuta pesa tu ili uweze kumtimizia mwanamke wako mahitaji
 
Sina tatizo kutafuta zangu na kuendele na maisha na marioo wangu tatizo ni pale tunaanzisha familia afu bado huna chochote ntawadanganya nn watoto wajue ww ni baba provider na sio sperm dinor?...Msishindane nasisi ukweli ni huu izo pesa mnahangaikaaaa weeee kuzitafuta mwisho wa siku lazma uje utumie na mwanamke so tuna nafas kubwa ya KUSAVAIV kupitia nyie..ila nyie lazma muwe na pesa mana mna option moja tuu...kutafuta pesa baas vinginevyo uwanaume waachie wenye vitambi na wazee wanaojua kuzisaka.
 
Kudadeki zenu tukitafuta pesa mnalalamika mnasema tunapenda usawa tusipotafuta tukiwaomba napo mnalalamika mnasema tunapenda kuhongwa nguruwe wakubwa nyie
Naona umechafukwa mzee mama.[emoji1]
 
Kudadeki zenu tukitafuta pesa mnalalamika mnasema tunapenda usawa tusipotafuta tukiwaomba napo mnalalamika mnasema tunapenda kuhongwa nguruwe wakubwa nyie
Mnhhh..!!
 
H
Kudadeki zenu tukitafuta pesa mnalalamika mnasema tunapenda usawa tusipotafuta tukiwaomba napo mnalalamika mnasema tunapenda kuhongwa nguruwe wakubwa nyie
Hahaha povu kama lote...
Umewaweza leo
 
Habari wana MMU
Siku zote hela ni chumvi katika chakula hivyo kumbe chakula kinaweza kuliwa bila chumvi lakini hakitakuwa na ladha yake lakini la maana kushiba

Wewe mwanamke ikiwa mwanaume wako amekosa kukupa hela ya saloon shopping nk iwe mwanzo wa kutafuta kazi nasio. Mwanaume mwingine""
[emoji3][emoji3] umepanic bro
 
Tafuta hela wewe acha ushamba, hakuna raha ninayoipata na utamu kama pale ninapomtimizia mwanamke mahitaji yake hasa yule ninaempenda huwa najisikia raha kupita maelezo, akinambia tu baba ninashida niongezee basi ninakitu nataka kufanya mi dk mbili tu kama ninayo

Kama sina sijivungi namwambia hata tukitengana atapata kitu cha kunitofautisha na vishankupe vyake
 
Kudadeki zenu tukitafuta pesa mnalalamika mnasema tunapenda usawa tusipotafuta tukiwaomba napo mnalalamika mnasema tunapenda kuhongwa nguruwe wakubwa nyie
Ulikosa neno jingne tofauti na nguruwe?

Utajisikiaje baba ako akiitwa nguruwe?
 
Back
Top Bottom