Search results

  1. Bakari China

    Ufundishaji wa Kiswahili na Taaluma za Kiafrika nchini China

    ni kweli kabisa mkuu. lakini, kukuza urafiki huo kutaleta faida kwa nchi hizi mbili. "Kwa maslahi ya pande zote" inawezekana
  2. Bakari China

    Ufundishaji wa Kiswahili na Taaluma za Kiafrika nchini China

    urafiki wa China na Tanzania ulianzia miaka ya 1960s. TAZARA na miradi mingine ya misaada kutoka kwa China ni ishara ya urafiki huohuo. Mwenyekiti wa Jamhuri ya Watu wa China Bw. Xi Jinping (baadhi ya watu wanamwita Rais wa China, lakini si sahihi kwa sababu mataifa ya kikomunisti yana wenyekiti...
  3. Bakari China

    Ufundishaji wa Kiswahili na Taaluma za Kiafrika nchini China

    unachosema si ukweli kabisa. sisi sote wanafunzi wa Kiswahili kutoka nje ya Afrika tuna mapenzi ya dhati kwa watu na utamaduni wa Kiafrika. tunasoma lugha hiyo kwa kusudi la kuendeleza urafiki wa dhati baina ya taifa letu China na Tanzania.
  4. Bakari China

    Ufundishaji wa Kiswahili na Taaluma za Kiafrika nchini China

    ukiwa na shahada ya uzamili (major in Kiswahili) utapata ajira nzuri ya kufundisha chuoni hapa China
  5. Bakari China

    Ufundishaji wa Kiswahili na Taaluma za Kiafrika nchini China

    2021年4月23日至4月26日,上海外国语大学东非研究中心主任、东方语学院斯瓦希里语专业负责人马骏老师,东非研究中心副主任、斯瓦希里语专业宁艺老师率领斯瓦希里语专业5名同学赴京参加“全国非洲语言教学研讨会暨首届中国高校非洲语言学科竞赛”,随后前往清华大学国际与地区研究院参加交流研讨活动。...
  6. Bakari China

    Naomba nifundishwe kupika ugali wa mahindi

    mimi ni mchina:)
  7. Bakari China

    Naomba nifundishwe kupika ugali wa mahindi

    baada ya ugali huja maziwa au kinywaji baridi, baada ya kinywaji huja usingizi😁 maisha mazuri eh
  8. Bakari China

    Naomba nifundishwe kupika ugali wa mahindi

    nitakula peke yangu. bado familia yangu hawajazoea chakula Kitanzania😁
  9. Bakari China

    Naomba nifundishwe kupika ugali wa mahindi

    niliwahi kula ugali mara moja tu, pamoja na mchuzi wa nyama (mboga za kizungu)😅 labda mboga za Kitanzania au Kichina zitanifurahisha zaidi mno
  10. Bakari China

    Naomba nifundishwe kupika ugali wa mahindi

    asante kwa muongozo wako, unasaidia sana
  11. Bakari China

    Naomba nifundishwe kupika ugali wa mahindi

    Habari marafiki zangu wapendwa? Mimi naomba kujua jinsi nitakavyopika ugali wa mahindi, pia mboga zinazofaa (kama vile mchuzi wa nyama au biringani za kukaanga). Mimi ni mpishi mpya, lakini nitajaribu kuzipika vizuri kama iwezekanavyo. Shukrani
  12. Bakari China

    #COVID19 China yasema mlipuko ya COVID-19 kugeuzwa kuwa siasa kutadhoofisha jitihada za kupambana nao

    China imethubutu kufungua maabara yetu, na wataalamu wa WHO wamefanya utafiti huko. Kwani Marekani bado?
  13. Bakari China

    #COVID19 China yasema mlipuko ya COVID-19 kugeuzwa kuwa siasa kutadhoofisha jitihada za kupambana nao

    Kulinganishwa na chanzo cha popo, ningeamini zaidi chanzo cha Marekani. Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetoa wito wa Marekani kufungua maabara yake ili tujue wazi corona vinatoka wapi. Kwani Marekani haithubutu kufungua maabara?
  14. Bakari China

    #COVID19 China yasema mlipuko ya COVID-19 kugeuzwa kuwa siasa kutadhoofisha jitihada za kupambana nao

    fikra potofu ya kumdharau mshindi haikusaidii kushinda:rolleyes:
  15. Bakari China

    #COVID19 China yasema mlipuko ya COVID-19 kugeuzwa kuwa siasa kutadhoofisha jitihada za kupambana nao

    Alaa, sasa ni mwezi wa 7, 2021, bado kuna mtu anayeamini China ni chanzo cha covid-19?
  16. Bakari China

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    Habari hiyo ni ya huzuni kabisa, hata kifo cha Mhe. Magufuli kinatuhuzunisha sana wanafunzi Wachina wanaojifunza Kiswahili. Sina la kusema ila pole🙏 Mungu ibariki Tanzania.
  17. Bakari China

    Naomba kufundishwa Kiswahili chenye maandishi ya Kiarabu

    Asante sana bwana, unachoelezea ni ya kweli kabisa. Kwa mujibu wa baadhi ya wanachuoni Wachina, japokuwa Kiswahili ni lugha ya mchanganyiko, lakini lugha hiyo ni mojawapo ya lugha za Kibantu maana sarufi yake inafanana na lugha zingine za Kibantu(aina tofauti za nomino, subjective prefix, tense...
  18. Bakari China

    Naomba kufundishwa Kiswahili chenye maandishi ya Kiarabu

    Katika sehemu za pwani hassan Unguja na Lamu, hata leo baadhi ya watu hutumia alama hizo za kiarabu kuandika Kiswahili.
  19. Bakari China

    Naomba kufundishwa Kiswahili chenye maandishi ya Kiarabu

    Kiswahili ni lugha ya kibantu lakini mnamo muda mrefu uliopita kabla ya wazungu kuja, Kiswahili kiliandikwa kwenye herufi ya kiarabu. leo tunatumia a,b,ch,d, lakini kabla ya miaka 100 watu walitumia ا ب ت ث ح خ kama ishara ya matamshi ya Kiswahili.
Back
Top Bottom