Kuna familia ya mjomba wangu imeishia pabaya sana. Najitahidi kuamini vinginevyo lakini akili yangu inaniambia ni laana.
Mjomba wangu alikuwa ni msomi wa Ph.D na alikuwa na pesa kama uchafu. Majumba, magari na miradi mingine kibao. Alikuwa na mke na watoto watano wa kike wawili na wa kiume...
Google umenisaidia sana kunipatia elimu juu ya mambo mengi, ila kwa leo sina budi kukushusha vyeo.
Leo nilitaka kuanzisha ugomvi, In fact kuna mtu amenizingua kwa muda mrefu. Hivyo nilikuwa natamani ajichanganye siku moja nianzishe ugomvi mkubwa, ambao hata rais asingeweza kuutuliza.
Kama...
Wadau wa Jamiiforums nilikuwa na simu ya Tekno W3 toleo la 2016, siku chache zilizopita Apps zote nilizozidownload play store hazifanyi kazi mfano whatsapp, opera mini na Jamiiforums.
Nilimuuliza kuna jamaa yangu anayajua jua haya mambo ya simu, akanambia kuna baadhi ya version za simu zimeanza...
Hizi picha mpaka leo zinawaacha watu na maswali.
Hii picha ni ya wanajeshi, iliyochukuliwa kipindi cha Vita ya kwanza ya dunia. Huyo jamaa wa nyuma kabisa aliyezungushiwa kaduara. Ameonyeshwa kwa mbele, nyuma yake kuna sura ya mtu. Huyo mtu ambaye sura yake imetokea alikufa siku mbili kabla...
Maumbo ya hizi features yanashangaza kidogo. Jinsi yalivyojiumba na kutengeneza viumbe tunavyovijua.
Wazee wa conspiracy, wanadai hiyo ni petrification. Hivyo zamani duniani kuliwahi kuwa na giants.Hivyo hata mjusi wa zamani alikuwa mkubwa sana kuliko wa leo.Na hizi features ni masalia yake...
JF kuna kila aina ya maraia wanao toa michango ya nguvu,wababaishaji na wachekeshaji.Hivyo members hutoa like kwa aliyewagusa Kwenye wanaocoment.
Hivyo hili bandiko ni kutoa heshima kwa members hawa kwa sababu wanaongoza kutoa likes.
1. @Mwifa
2. GODZILLA
Hawa madingidee ni kisanga kwa...
Kwa ambao hatujawahi kufika Jamaica, mtu akiongea kuhusu Jamaica cha kwanza kufikiria kichwani ni bangi.Toka tukiwa wadogo tulishakaririshwa Jamaica ndio sehemu bangi inavutwa kupita maelezo.
Tafiti zinaonyesha Tanzania ina watu wanaotumia bangi milioni 3.6, wakati Jamaica watumiaji ni...
Sijui nina shida gani ila nahisi nina matatizo ya kisaikolojia.Nina tabia ambayo naiona siyo ya kawaida nikijilinganisha na vijana wa rika langu.Huwa siwezi kuwa kwenye mahusiano na Mwanamke ambaye sio starndard yangu.
At my 20's sijawahi kuwa na mahusiano yaliyo serious au commitment...
Mara nyingi huwa naona tatizo la tafsiri kauli ikitoka lugha nyingine mfano kiingereza kuja kwenye kiswahili.Habari ikitafsiriwa huwa haikai sawa huwa inaleta ukakasi fulani.Sijajua tatizo ni kiswahili au watafsiri.
Anyway let's get straight to the point
Nimekutana na hii huko Instagram page...
Rejea maada tajwa Hapo juu.Mimi ni kijana umri wa miaka kadhaa nipo tu mtaani mkoa mmoja hapa Tanzania.Siku ya Jumamosi iliyopita nilichukua dada poa mmoja nikamlipa then nikapiga bao moja na kwa kondomu nikaachana nae.Nilijikagua sana kesho yake asubuhi sikuona mchubuko wowote.
Lakini baada ya...
Msanii wa mziki wa Hip-hop Tanzania maarufu kwa Jina la Nikki wa pili ameweka bandiko katika mtandao wa Instagram.Bandiko hilo limeonekana kama ni kashfa dhidi ya kitabu kitakatifu Cha Biblia kwa waumini wa dini ya Kikristo.
Katika bandiko hilo Nikki wa pili amesema (nina paraphrase ) "Story ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.