Ningependa kufahamu je!? ni kiasi gani hupatiwa kwa vilabu vitakavyofuzu hatua ya makundi upande wa shirikisho Africa.
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Nimejichanga miaka kadhaa hatimae nikapata kakiwanja kangu huko ndanindani Zingiziwa
Nikajichanga tena wazo ni angalau niwe na kakibanda hata kamgongo wa ng'ombe nisahau adha za kodi. Juzi nimeenda na fundi wangu angalau tugawane rizk tumeanza kuchimba msingi leo tumeanza kuingiza tofauri...
Mimi ni dereva mwenye uzoefu na kazi za online taxi 3yrs yaani uber na bolt Hivyo natafuta mmiliki wa gari ambae atanikabidhi gari lake kwa kufanya kazi hii kwa hesabu. Pia akipenda tuingie makubaliano ya mkataba itapendeza zaidi.
Mawasiliano; 0789702863.
Sent from my V2026 using JamiiForums...
Nimekuwa nikifuatilia kazi hii ya usafirishaji wa magari maarufu km IT kwa muda sasa lakini sikupata kufanikiwa wazee wa clearing and Foward au mdau yoyote mwenye kufahamiana na Agents wanaohusika naomba msaada wake huu ni muda sasa wa kuomba msaada wenu uzoefu na boda ninao wa kutosha...
Natafuta mmiliki wa gari ambae ataruhusu gari lake lifanye kazi ya ubebaji wa abiria kwa njia ya mtandao uber, bolt nk iwe kwa mkataba au hesabu ya kawaida dereva nipo hapa na account zote zipo active.
Mawasiliano: 0789702863.
Dereva nipo
Iwe mkataba au hesabu.
Km huelewi chochote kuhusu hii biashara nitakusaidia kuilewa na ushauri utapatiwa.
ANGALIZO.
Usiwe Boss (Mmiliki)wa aina hii:
1.Kila asubuhi uje uchukuliwe bila malipo na hesabu yako ni ile ile hili haliwezekani.
2.Toa uhuru wa muda wa kufanya kazi...
Wana jamvi habari!
Nachelewa sana kuamini kupata kazi itakayoendana na taaluma yangu ya ualimu.
Sasa mwanye connection ya kazi yoyote halali ya kuingiza kipato nipo hapa iwe sehemu yoyite ndani ya Tanzania.
Utawasikia wapenzi na mashabiki wa yanga wakikalili kile walichoaminishwa kuwa kila mchezaji aliyesajiliwa na Simba basi walikuwa wao ndio wakwanza kuwa na nia na huyo mchezaji as if Simba inaitumia yanga Kama scouts yao.
Hii yote inasababishwa na hali mbaya inayopitia club ya yanga hasa...
Na. Fred Kibano - Arusha
Serikali imesema inaendelea na maandalizi ya mifumo mipya ya ajira na uhamisho ambayo itaondoa changamoto ya uhaba wa watumishi walimu kwenye shule zake za msingi na sekondari hapa nchini.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Gerald Mweli...
Natafuta gari ya kununua aina ya IST namba D mil 6 aliyonayo aje DM
Au anipigie +255789702863
ANGALIZO: Tangazo limekamilika usije na sound kama ni dalali utajua utafanyaje kwenye mchakato wako.
Habari!
Mimi ni dereva natafuta mmiliki wa gari ambae ataruhusu gari lake kwa kazi za uber. Nikiwa kama dereva tutakubaliana kiasi cha marejesho kwa siku/wiki.
Nina uzoefu wa kazi hiyo
Account ya uber na taxify ninazo kilichobaki ni gari.
Mawasiliano: 0718286870 au 0789702863.
Ndugu zangu naomba kuuliza hivi tangazo la ajira kwa walimu deadline yake ni lin hasa kati ya tarehe 13 au 15 march! maana napata mashaka mchakato wa kuingia OTEAS kwangu umekuwa mgumu siku ya leo tar 13 hata hatua za awali haifunguki.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.