Wataalam laptop yangu imeingia maji kwa bahati mbaya, sasa screen inacheza sana kama imetengeneza mawimbi hivi japokuwa ina function vizuri. Hapo suluhu ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe kwamba namna Mhe. Nassari alivyoomba ruhusa ina walakini (kwa maelezo yake Nassari mwenyewe). Lakini kama akipeleka hili shauri mahakamani kama anavyosema uamuzi wa Mh spika uko bound kupinduliwa for one strong reason. There was procedural impropriety kwa kumnyima Nassari...
Mkuu andiko zuri sana hili. Samahani na swali kidogo, huu mchoro aliuchora Da Vinci? na kama ndiye ali specify kwamba dunia itakuwa hivi 2019 au aliandika tu akiizungumzia dunia ya sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu enzi za uhai wake aliwahi kuonya juu ya mtu kujitabanabaisha kama "sisi" au "wananchi". Haya uliyoyasema hapa ungekuwa unasema 'mimi' yangekuwa sahihi sana kwa sababu tuna haki ya kutoa maoni, ila kutumia watu kuwakilisha mawazo yasiyo na mpangilio ya ubongo wako ni upuuzi wa kuachwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.