Sakata la Joshua Nassari: Mtazamo wangu

Hata kama ni mtu wa upinzani basi ili upate public sympathy at least uwe na sababu za msingi basi siyo kwa upuuzi huu wa Nasary. Ni aibu hata kumtetea humu jukwaani yaani mtu mikutano mitatu hayupo bungeni eti yuko martenity marekani. Martenity kwa mwanaume ni siku 3 tu kwa sheria za Tz. Mwanamke anapewa miezi 3 ya maternity kwa sababu ananyonyesha, sasa Nasary tukimuuliza huko hospitali muda wote huo alikuwa anafua nepi? Au alikuwa ndiye Daktari ya mkewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari umesitishwa/umefutwa katika kile kinachotajwa kuwa hakuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila ruhusa ya Spika wa Bunge. Katika kutekeleza hilo, Ofisi ya Spika imeijenga hoja yake kwa kutumia Ibara ya 71(1)(c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 (kama ilivyofanyiwa marekebisho mara kwa mara)ambayo nainakili hapa chini:

71.-(1) Mbunge atakoma kuwa Mbunge na ataacha kiti chake katika Bunge litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo-
(a).……………………………….(haihusiki)

(b).……………………………….(haihusiki)

(c) ikiwa Mbunge atakosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge Mitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika;

Ni dhahiri kuwa Ibara niliyoinakili hapo juu inazungumzia sababu mojawapo ya kukoma kwa Ubunge wa Mbunge yeyote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.ababu hiyo ni kukosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge Mitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika. Kulingana na Ibara hiyo, kuna mambo muhimu.

Mosi, Mbunge husika anakosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo. Kulingana na sakata la Nassari, Nassari hakuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo. Ni jukumu lake Nassari nje au ndani ya Mahakama kuthibitisha kuwa alihudhuria vikao vya mikutano hiyo ya Bunge ambayo anadaiwa kuwa hakuihudhuria. Katika hilo, hakutakiwi porojo wala siasa, ushahidi unatosha.

Pili, Ibara tajwa inazungumzia ruhusa ya Spika. Ruhusa ni kibali cha kufanya au kutofanya au kusema au kutosema jambo. Katika uga wa kiutumishi, ruhusa huombwa kwa fomu au barua maalum. Mwombaji wa ruhusa huhakikisha kuwa fomu au barua yake imemfikia ipasavyo mtoa ruhusa na hatimaye amepata ruhusa hiyo kupitia fomu hiyo au barua ya mtoa-ruhusa. Hapo ndipo ruhusa ya kufanya au kutofanya au kusema au kutosema huanza.

Tatu, kwa mujibu wa Ibara niliyoinakili hapo juu na sakata zima la Joshua Nassari, mtoa-ruhusa ni Spika wa Bunge. Ni ruhusa ya kutohudhuria vikao vya mikutano ya Bunge ima chini ya mitatu au mitatu. Joshua Nassari, kwa mujibu wa jambo lake, alipaswa kuomba na kupata ruhusa ya Spika wa Bunge ili kutohudhuria vikao vya Mikutano mitatu mfululizo ya Bunge. Kama aliipata ruhusa hiyo, ni wakati wake nje au ndani ya mahakama kuianika ruhusa hiyo. Kulialia na kuomba huruma kutafuata baadaye.

Kwa uelewa wangu, neno 'mfululizo' limetumika kuonyesha ukubwa wa jambo hilo la kukosa kuhudhuria vikao vya mikutano ya Bunge kwakuwa Miukutano ya Bunge hufanyika kila baada ya miezi kadhaa. Kimsingi, mikutano mitatu mfululizo hubeba kipindi kirefu cha kutosha na ndiyo maana Mbunge anapokosa bila ruhusa ya Spika anapaswa kukoma kuwa Mbunge. Joshua Nassari, pamoja na kuiweka mbele hoja ya kumuuguza mkewe, anapaswa kuuambia umma, wapigakura wake na hata Mahakama (kama atakwenda) kuhusu ruhusa yake kutoka kwa Spika.

Kwakuwa suala la Joshua Nassari ni suala nyeti na linaloweza kujengewa nadharia mbalimbali sahihi na potofu, ni wajibu wake kuweka mambo sawa kwa kuanika ruhusa yake kutoka kwa Spika au ushahidi wake kuwa si kweli kuwa hakuhudhuria vikao vya mikutano mitatu mfululizo ya Bunge.Amasivyo, Katiba, Sheria, Kanuni na Taratibu za Bunge zitampiga kumbo kirahisi sana.
Nakubaliana na wewe kwamba namna Mhe. Nassari alivyoomba ruhusa ina walakini (kwa maelezo yake Nassari mwenyewe). Lakini kama akipeleka hili shauri mahakamani kama anavyosema uamuzi wa Mh spika uko bound kupinduliwa for one strong reason. There was procedural impropriety kwa kumnyima Nassari right to be heard (Natural justice) This one needs not to be written anywhere.

Swala la kwamba ana sababu za kukosa vikao au ana ruhusa ni jambo la pili kuamuliwa baada and speaker ought to accord him right to justify his actions before acting on anything else.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama itathibitika kweli kuwa Nassari hakufuata taratibu kwenye sakata hili, atakuwa amedhihirisha the highest level of irresponsibility na sidhani kama hata anastahili tena kuvaa hadhi ya uwakilishi wa wananchi mahala popote, labda akienda CCM ambao wao ni zoazoa tu bora liende!
Hivi bado mnasikiliza Nassari na Ngonjela zake?
 
Wapinzani wamekuwa wakilalamika na kuona wanaonewa katika kila jambo linalotokea kwao. Inawezekana ni kweli mke wake alikuwa na changamoto, je ni mwanamke huyo tu mwenye changamoto za uzazi? Hivi kama kila mwanaume ataamua kukaa nyumbani kulea mimba ya mke wake kwa miezi tisa kazi zitafanyika kweli? Wakati mwingine tuwe serious bhana, Joshua hapa amechemka.
Japo naona baadhi ya viongozi wake wamejaribu kukubeba na kukutetea, lakini kiuhalisia kukutetea kwenye hili inabidi uwe umekunywa gongo kidogo. Lissu nae ameamua hadi kutoa ujumbe wa uongo kwamba Nassari alimpigia kuomba ushauri na akamwambia vikao vya Novemba alikuwepo lakini kwenye press umesema Novemba ni kweli hakuwepo. JE,
1. Ni kwa nini alikataa kuulizwa maswali na waandishi wa habari ambao amewaita yeye mwenyewe?
2. Ni kwamba viongozi wake wanakurupuka hasa Lissu?
3. Ameona ni njia bora ya kuhama chama bila kuzomewa na kuitwa msaliti?
4. Viongozi wake wamewahi kumuonya juu ya utoro wake Bungeni?
5. Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kupitia kwa mnadhimu hawakuwa na taarifa juu ya dharura alizokuwa nazo Mbunge wao?
6. Barua anayodai ametuma kwa Spika, kwa nini haikupita kwenye ofisi ya Kambi rasmi ya Upinzani?
From school to Member of Parliament......lazima atajisahau. Karibu mtaani Mr Nassari
 
Una uhakika mimi sina uwezo wa kubishana na Mawakili wenzangu mahakamani? Kwahiyo kazi zangu za kila siku nazifanyia wapi? Mkuu, jifunze kuheshimu kazi na tasnia za watu. Achana na huyo Ibambasi anayelazimisha mabishano

Sijawahi kusikia msomi akijisifia usomi wake, labda malimbukeni tu.
 
kama itathibitika kweli kuwa Nassari hakufuata taratibu kwenye sakata hili, atakuwa amedhihirisha the highest level of irresponsibility na sidhani kama hata anastahili tena kuvaa hadhi ya uwakilishi wa wananchi mahala popote, labda akienda CCM ambao wao ni zoazoa tu bora liende!
Nasari alikosa vikao kwa mujibu ya hicho kifungu cha katiba basi kosa ni dhahiri na adhabu ni kwa mujibu wa hicho kifungu.
Tatizo yawezekana alichukulia mambo kirahisi na wale waliopaswa kumstua wakakaa kimya ili mtego unase. na unase upande ule sio huu!
Kosa ni kutokuwajulisha wakuu waake katika chama pengine yasingetokea hayo. Kiujumla kulikuwa na uzembe kwake na kwa wenzake. upande wa pili ungeweza kumtafuta na kumuonya pia kuokoa gharama but on the oyher side upande ule unatazama wrongly kama faida ukimtegeshea alambe Jokeri na amelamba kweli. But kuna chance ya busara pia!
Jengo, japo la mabilioni madhali limejengwa kwenye barabara sheria inachukua mkondo ya nini kukwepesha barabara bwana!
 
Ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari umesitishwa/umefutwa katika kile kinachotajwa kuwa hakuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila ruhusa ya Spika wa Bunge. Katika kutekeleza hilo, Ofisi ya Spika imeijenga hoja yake kwa kutumia Ibara ya 71(1)(c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 (kama ilivyofanyiwa marekebisho mara kwa mara)ambayo nainakili hapa chini:

71.-(1) Mbunge atakoma kuwa Mbunge na ataacha kiti chake katika Bunge litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo-
(a).……………………………….(haihusiki)

(b).……………………………….(haihusiki)

(c) ikiwa Mbunge atakosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge Mitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika;

Ni dhahiri kuwa Ibara niliyoinakili hapo juu inazungumzia sababu mojawapo ya kukoma kwa Ubunge wa Mbunge yeyote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.ababu hiyo ni kukosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge Mitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika. Kulingana na Ibara hiyo, kuna mambo muhimu.

Mosi, Mbunge husika anakosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo. Kulingana na sakata la Nassari, Nassari hakuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo. Ni jukumu lake Nassari nje au ndani ya Mahakama kuthibitisha kuwa alihudhuria vikao vya mikutano hiyo ya Bunge ambayo anadaiwa kuwa hakuihudhuria. Katika hilo, hakutakiwi porojo wala siasa, ushahidi unatosha.

Pili, Ibara tajwa inazungumzia ruhusa ya Spika. Ruhusa ni kibali cha kufanya au kutofanya au kusema au kutosema jambo. Katika uga wa kiutumishi, ruhusa huombwa kwa fomu au barua maalum. Mwombaji wa ruhusa huhakikisha kuwa fomu au barua yake imemfikia ipasavyo mtoa ruhusa na hatimaye amepata ruhusa hiyo kupitia fomu hiyo au barua ya mtoa-ruhusa. Hapo ndipo ruhusa ya kufanya au kutofanya au kusema au kutosema huanza.

Tatu, kwa mujibu wa Ibara niliyoinakili hapo juu na sakata zima la Joshua Nassari, mtoa-ruhusa ni Spika wa Bunge. Ni ruhusa ya kutohudhuria vikao vya mikutano ya Bunge ima chini ya mitatu au mitatu. Joshua Nassari, kwa mujibu wa jambo lake, alipaswa kuomba na kupata ruhusa ya Spika wa Bunge ili kutohudhuria vikao vya Mikutano mitatu mfululizo ya Bunge. Kama aliipata ruhusa hiyo, ni wakati wake nje au ndani ya mahakama kuianika ruhusa hiyo. Kulialia na kuomba huruma kutafuata baadaye.

Kwa uelewa wangu, neno 'mfululizo' limetumika kuonyesha ukubwa wa jambo hilo la kukosa kuhudhuria vikao vya mikutano ya Bunge kwakuwa Miukutano ya Bunge hufanyika kila baada ya miezi kadhaa. Kimsingi, mikutano mitatu mfululizo hubeba kipindi kirefu cha kutosha na ndiyo maana Mbunge anapokosa bila ruhusa ya Spika anapaswa kukoma kuwa Mbunge. Joshua Nassari, pamoja na kuiweka mbele hoja ya kumuuguza mkewe, anapaswa kuuambia umma, wapigakura wake na hata Mahakama (kama atakwenda) kuhusu ruhusa yake kutoka kwa Spika.

Kwakuwa suala la Joshua Nassari ni suala nyeti na linaloweza kujengewa nadharia mbalimbali sahihi na potofu, ni wajibu wake kuweka mambo sawa kwa kuanika ruhusa yake kutoka kwa Spika au ushahidi wake kuwa si kweli kuwa hakuhudhuria vikao vya mikutano mitatu mfululizo ya Bunge.Amasivyo, Katiba, Sheria, Kanuni na Taratibu za Bunge zitampiga kumbo kirahisi sana.
Leo ndio umeandika kisomi sio huko nyuma unajenga hoja ya HISIA.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Wapinzani wamekuwa wakilalamika na kuona wanaonewa katika kila jambo linalotokea kwao. Inawezekana ni kweli mke wake alikuwa na changamoto, je ni mwanamke huyo tu mwenye changamoto za uzazi? Hivi kama kila mwanaume ataamua kukaa nyumbani kulea mimba ya mke wake kwa miezi tisa kazi zitafanyika kweli? Wakati mwingine tuwe serious bhana, Joshua hapa amechemka.
Japo naona baadhi ya viongozi wake wamejaribu kukubeba na kukutetea, lakini kiuhalisia kukutetea kwenye hili inabidi uwe umekunywa gongo kidogo. Lissu nae ameamua hadi kutoa ujumbe wa uongo kwamba Nassari alimpigia kuomba ushauri na akamwambia vikao vya Novemba alikuwepo lakini kwenye press umesema Novemba ni kweli hakuwepo. JE,
1. Ni kwa nini alikataa kuulizwa maswali na waandishi wa habari ambao amewaita yeye mwenyewe?
2. Ni kwamba viongozi wake wanakurupuka hasa Lissu?
3. Ameona ni njia bora ya kuhama chama bila kuzomewa na kuitwa msaliti?
4. Viongozi wake wamewahi kumuonya juu ya utoro wake Bungeni?
5. Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kupitia kwa mnadhimu hawakuwa na taarifa juu ya dharura alizokuwa nazo Mbunge wao?
6. Barua anayodai ametuma kwa Spika, kwa nini haikupita kwenye ofisi ya Kambi rasmi ya Upinzani?
Lisu ni mpenda sifa, kila sehemu ye anataka aonekane. Nilisoma andiko lake kumtetea Nasari, lilijaa pumba tupu sema kwakua ana wafuasi mazombie walishangilia sana.Leo Nasari kamkana kuonesha lisu ni mkurupukaji na aliwalisha pumba mifugo wake.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Kuhusu suala hili Chadema hawataki kanuni, sheria au katiba itumike; wanataka ''busara za Spika''.
Ila magufuli kuchukua hela za uhuru kununua vifaa vya hospital wanataka sheria na taratibu zitumike.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari umesitishwa/umefutwa katika kile kinachotajwa kuwa hakuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila ruhusa ya Spika wa Bunge. Katika kutekeleza hilo, Ofisi ya Spika imeijenga hoja yake kwa kutumia Ibara ya 71(1)(c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 (kama ilivyofanyiwa marekebisho mara kwa mara)ambayo nainakili hapa chini:

71.-(1) Mbunge atakoma kuwa Mbunge na ataacha kiti chake katika Bunge litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo-
(a).……………………………….(haihusiki)

(b).……………………………….(haihusiki)

(c) ikiwa Mbunge atakosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge Mitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika;

Ni dhahiri kuwa Ibara niliyoinakili hapo juu inazungumzia sababu mojawapo ya kukoma kwa Ubunge wa Mbunge yeyote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.ababu hiyo ni kukosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge Mitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika. Kulingana na Ibara hiyo, kuna mambo muhimu.

Mosi, Mbunge husika anakosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo. Kulingana na sakata la Nassari, Nassari hakuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo. Ni jukumu lake Nassari nje au ndani ya Mahakama kuthibitisha kuwa alihudhuria vikao vya mikutano hiyo ya Bunge ambayo anadaiwa kuwa hakuihudhuria. Katika hilo, hakutakiwi porojo wala siasa, ushahidi unatosha.

Pili, Ibara tajwa inazungumzia ruhusa ya Spika. Ruhusa ni kibali cha kufanya au kutofanya au kusema au kutosema jambo. Katika uga wa kiutumishi, ruhusa huombwa kwa fomu au barua maalum. Mwombaji wa ruhusa huhakikisha kuwa fomu au barua yake imemfikia ipasavyo mtoa ruhusa na hatimaye amepata ruhusa hiyo kupitia fomu hiyo au barua ya mtoa-ruhusa. Hapo ndipo ruhusa ya kufanya au kutofanya au kusema au kutosema huanza.

Tatu, kwa mujibu wa Ibara niliyoinakili hapo juu na sakata zima la Joshua Nassari, mtoa-ruhusa ni Spika wa Bunge. Ni ruhusa ya kutohudhuria vikao vya mikutano ya Bunge ima chini ya mitatu au mitatu. Joshua Nassari, kwa mujibu wa jambo lake, alipaswa kuomba na kupata ruhusa ya Spika wa Bunge ili kutohudhuria vikao vya Mikutano mitatu mfululizo ya Bunge. Kama aliipata ruhusa hiyo, ni wakati wake nje au ndani ya mahakama kuianika ruhusa hiyo. Kulialia na kuomba huruma kutafuata baadaye.

Kwa uelewa wangu, neno 'mfululizo' limetumika kuonyesha ukubwa wa jambo hilo la kukosa kuhudhuria vikao vya mikutano ya Bunge kwakuwa Miukutano ya Bunge hufanyika kila baada ya miezi kadhaa. Kimsingi, mikutano mitatu mfululizo hubeba kipindi kirefu cha kutosha na ndiyo maana Mbunge anapokosa bila ruhusa ya Spika anapaswa kukoma kuwa Mbunge. Joshua Nassari, pamoja na kuiweka mbele hoja ya kumuuguza mkewe, anapaswa kuuambia umma, wapigakura wake na hata Mahakama (kama atakwenda) kuhusu ruhusa yake kutoka kwa Spika.

Kwakuwa suala la Joshua Nassari ni suala nyeti na linaloweza kujengewa nadharia mbalimbali sahihi na potofu, ni wajibu wake kuweka mambo sawa kwa kuanika ruhusa yake kutoka kwa Spika au ushahidi wake kuwa si kweli kuwa hakuhudhuria vikao vya mikutano mitatu mfululizo ya Bunge.Amasivyo, Katiba, Sheria, Kanuni na Taratibu za Bunge zitampiga kumbo kirahisi sana.
Ahsante sana
 
Leo ndio umeandika kisomi sio huko nyuma unajenga hoja ya HISIA.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Huna lolote,uCCM tu umekujaa....
 
Alafu mkuu mtu professional kama wewe inabidi uwe makini sana endapo mtu ana ku provoke kwenye nyuzi zako, wengine tupo kuwatoa mtu kwenye mood, na wengine kejeli ni nyingi, na wengine tupo kuchochea kejeli kuona muhusika ata react vipi,

Comment nyingine unaachana nazo mkuu,
point ya msing, mkuu humu sio wote mtaenda sawa wakat mwingne unaachana na post unazoona zinakupma
 
Huna lolote,uCCM tu umekujaa....
Hivi akili zetu zimekuwa za mgando kiasi kila issue ni lazima tuingize uccm au cdm etc? Hivi hil jamvi hivi sasa limekuwa limejaa na irrational thinkers? Hivi kwa watu wa aina hii, tunaweza kufika popote?
 
Hivi akili zetu zimekuwa za mgando kiasi kila issue ni lazima tuingize uccm au cdm etc? Hivi hil jamvi hivi sasa limekuwa limejaa na irrational thinkers? Hivi kwa watu wa aina hii, tunaweza kufika popote?
Hatuwezi fika mzee..mijamaa si ni mavibaraka na matumwa ya wenye fedha..jua hilo
 
kama itathibitika kweli kuwa Nassari hakufuata taratibu kwenye sakata hili, atakuwa amedhihirisha the highest level of irresponsibility na sidhani kama hata anastahili tena kuvaa hadhi ya uwakilishi wa wananchi mahala popote, labda akienda CCM ambao wao ni zoazoa tu bora liende!
Hahahaha ccm ndio wamekuwa zoazoa sasa hivi..sio chadema ambao walizoa zoa makapi ya ccm wakati ule..wakabeba mpaka watuhumiwa wa ufisadi..ina maana mara hii umeshasahau kamanda...sisi wengine hatusahau kamwe...
 
Back
Top Bottom