Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Unge muuliza bibi kwanza, nini lengo la kumpeleka (kumchagua) Lissu bungeni? Jibu atakalo kupa bibi ndio itakua mada nzuri yakuanzishia maandamano.mkuu acha kuleta siasa sisi tuliokuwa na ndugu zetu jimboni singida mashariki ndo tunajua shida gan wanazipata bibi zetu ilihali mbunge aliyetuahidi atazitatua anazurula tu ulaya
Mi' nilifikiri umekuja kutuhabarisha kinachoendekea huko, kumbe umetuletea mawazo yako!mkuu acha kuleta siasa sisi tuliokuwa na ndugu zetu jimboni singida mashariki ndo tunajua shida gan wanazipata bibi zetu ilihali mbunge aliyetuahidi atazitatua anazurula tu ulaya
Hebu fafanua vizuri tuelewe!
Shida gani za wananchi zinazoweza kutatuliwa na mbunge?
Madiwani mnao?
Mkurugenzi yupo?
Mkuu wa Wilaya yupo?
Mbunge hana fedha za kujenga barabara wala kununua dawa.
Bajeti hupangwa na kila halmashauri ina mgawo wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cyprian musiba na Le mutuz wameandaa Bajeti ya kifisadi wamempelekea Naibu Rais ndugu Daud Maliyamungu Bashite na yy baada ya kuipitia atampelekea mtukufu malaika toka chato kisha amwamuru Doto Katibu mkuu wizara ya fedha awape pesa za kuwanunua wananchi kisha wafanye vurugu ni mwendo wa kufa kufaanaMimi nampiga Lissu lkn mwandishi adithi yako imekosa uhalisia hivyo haina radha hata kidogo. Usingewasingizia wananchi wa Singida,, ungesema kuwa hayo ndiyo mawazo yako..
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ndiyo wanapenda Ushoga kwani huchukua 40% pesa misaada toka kwa wazungu huku wakiitwa ikulu huwaita Wanaumemkuu kati ya ccm na cdm chama kipi kinasupport ushoga
Jimboni kwa Ndungai kunatisha wakati yeye ni Spika kuna kero zote za Duniani hata jimboni kwa Livingston Lusinde kibajaji wananchi wana funza miguu wanatembea nusu Uchi hakuna Bomba za maji ni shiiida kwa kwenda mbele hivyo hivyo kwa majimbo ya Msukuma, simbachawene, Nkamia na wenzao huko CCMHivi shida za wananchi zinatatuliwa na mbunge? Akili zingine hizi ...hebu nenda hata chato uone kama wanachi wa huko shida zao zina tofauti na wanachi wa singida mashariki...jinga kabisa
Sasa madalali wa siasa huko CCM wanaelekea huko yaani majimbo ya upinzani yamegeuzea Dili za kupigia pesa za umma zinazoidhinishwa na mtukufu malaika toka chato kwa ushauri wa Naibu Rais ndugu Daud Maliyamungu BashiteRecord zinasema, wakati biashara ya kununua madiwan, wabunge na viongozi wa upinzani ikipamba Moto mwaka Juzi na mwaka Jana, Jimbo la singida mashariki halikuguswa na huo uhuni.
Yatawatoka yote MSUMALI umezana na hautoki.Wamtoea haraka sana huyu shetani msaliti.
Hasemei shida za wana singida yuko bize kupiga selfie na kubwa la mashoga duniani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtetezi wa wanyonge,Mzalendo Namba moja Jembe na buldozer la kusafisha Mitaro HALIJAWANA wanyonge hao na kiwajali?, ama mpaka nao wawe wasanii ndo watalumbukwaa?mkuu acha kuleta siasa sisi tuliokuwa na ndugu zetu jimboni singida mashariki ndo tunajua shida gan wanazipata bibi zetu ilihali mbunge aliyetuahidi atazitatua anazurula tu ulaya
TrueKiboko ya majizi na mafisadi konki ya kodi zetu, wachumia tumbo, wasiopenda mwanga