lord atkin
Senior Member
- Sep 30, 2018
- 197
- 683
Wanajamvi salaam!
Kumekucha uchaguzi wa Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS)
Yule gwiji wa sheria za makampuni, na kada Maarufu wa CHADEMA aliyewahi kuwa mgombea wa chama hicho katika uchaguzi mkuu 2015 akichuana na Chenge Bariadi agombea urais TLS. Mwanasheria Godwin Ngwilimi ambaye pia amewahi kuwa Mwanasheria wa CHADEMA Serengeti ni mmojawapo wa wagombea wanaowania kumrithi Wakili msomi Fatma Karume akichuana na wagombea wengine watano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wagombea wengine kwenye nafasi hiyo ya Urais wa TLS ni Dk. Rugemeleza Nshala, John Seka, Godfrey Wasonga na Gaspar Mwanalyela.
Wakati nafasi ya makamu wa Rais ikiwa na mgombea mmoja tu ambaye ni Mpale Mpoki.
Wagombea wengine kwenye kamati ya uongozi ni Harold Sungusia, Angelista Nashoni, Jebra Kambole, Jeremiah Mtobesya nk
Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika katika mkutano wa TLS utakaoanza April 5 Jijini Arusha.
Kumekucha uchaguzi wa Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS)
Yule gwiji wa sheria za makampuni, na kada Maarufu wa CHADEMA aliyewahi kuwa mgombea wa chama hicho katika uchaguzi mkuu 2015 akichuana na Chenge Bariadi agombea urais TLS. Mwanasheria Godwin Ngwilimi ambaye pia amewahi kuwa Mwanasheria wa CHADEMA Serengeti ni mmojawapo wa wagombea wanaowania kumrithi Wakili msomi Fatma Karume akichuana na wagombea wengine watano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wagombea wengine kwenye nafasi hiyo ya Urais wa TLS ni Dk. Rugemeleza Nshala, John Seka, Godfrey Wasonga na Gaspar Mwanalyela.
Wakati nafasi ya makamu wa Rais ikiwa na mgombea mmoja tu ambaye ni Mpale Mpoki.
Wagombea wengine kwenye kamati ya uongozi ni Harold Sungusia, Angelista Nashoni, Jebra Kambole, Jeremiah Mtobesya nk
Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika katika mkutano wa TLS utakaoanza April 5 Jijini Arusha.