Kwa hili la vitambulisho vya wajasiliamali, Rais anahitaji pongezi

Magufuli oyeeeeeee
Wewe sijui akili zako umetupa wapi. Yaaki kila uzi unacho-comment ni "magufuli hoyeee". Hata mashuleni ulikopita ulijaza tu nafasi ya madawati. Kwa uvivu huo ungepumzika tu nyumbani kipindi hicho ungekuwa umeokoa pesa za taifa na za waliozipoteza wakidhani wanasomesha mtu.
 
Wewe sijui akili zako umetupa wapi. Yaaki kila uzi unacho-comment ni "magufuli hoyeee". Hata mashuleni ulikopita ulijaza tu nafasi ya madawati. Kwa uvivu huo ungepumzika tu nyumbani kipindi hicho ungekuwa umeokoa pesa za taifa na za waliozipoteza wakidhani wanasomesha mtu.

Duh
Hasira zote juu yangu kwa maneno ninayoyaandika imekuwaje!!!
Ha ha ha haaaaa
Lia kabisa na ujipige vibao then andika hadithi ingine juu yangu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 u 💀💀💀💀💀💀💀
 
Naomba na mm nichangie kidogo

Kwanza nina uelewa na mambo ya kodi japo si kwa level kubwa sana ila nina uelewa.. lkn pia nina uelewa wa Public Sector monies... yaan revenue na expenditure... sikuishia hapo pia nimesoma kwa kiwango fulani Public finance Act nadhani iko ammended 2018... Constitution n.k...

MCHANGO WANGU UNAANZA NA KUJUA NANI ANARUHUSIWA KUWEKA KODI MPYA,
Kwa sheria zetu BUNGE ndio chombo pekee ambacho watapitisha kodi mpya na ya aina yoyote except kwa halmashauri (LGA) ambako baraza la madiwani watapitisha tozo zao za kuendeleza halmashauri

Sasa kama RAIS alivyosema kwamba ni chanzo cha mapato basi hiyo ni kodi na kisheria hayuko SAHIHI...
Lakini kama sio kodi basi suala la pili litafuta hapa... na hii ni UNUNUZI WA MALI ZA UMMA...
KISHERIA TUNAONGOZWA NA PROCUREMENT ACT

Nayo kabla ya vyote inataka kuwepo na TENDER juu ya kitu chochote kitakacho nunuliwa au kujengwa au kuundwa except vile vitu ambavyo msambazaji wake hana mshindani

HIVYO BASI KWA UCHACHE NA BILA KUANDIKA MENGI
RAIS MAGUFULI NI RAIS WA HOVYO.. HAJUI MAJUKUMU YAKE, HAFATI SHERIA NA NI RAHISI SANA KUJIINGIZA KWENYE KASHFA...
TUFIKISHE UJUMBE KWA MAKAMU WA RAIS KUWA RAIS ANAKURUPUKA NA HAJUI NA HANA HATA BASICS ZA KODI.. AITE WASHAURI WAMSHAURI..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unaingilia Uhuru Wa mtu
Wewe sijui akili zako umetupa wapi. Yaaki kila uzi unacho-comment ni "magufuli hoyeee". Hata mashuleni ulikopita ulijaza tu nafasi ya madawati. Kwa uvivu huo ungepumzika tu nyumbani kipindi hicho ungekuwa umeokoa pesa za taifa na za waliozipoteza wakidhani wanasomesha mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndipo upeo ilipoishi..
Jambo moja lile lile huwa halina mtizamo mmoja linapotizamwa kitofauti. Kwa mfano jambo hili hili ukilijadili kiimani utaishia kujiuliza kama ni dhambi ama si dhambi au Mungu anapenda ama hapendi. Hili ni Jukwaa la siasa ukiweka jambo linajadiliwa kisiasa.
 
Unaongea kutokea wapi? Hapa Tanzania kwa siku za karibuni vitambulisho vya wajasiliamali umekuwa usumbufu wa hali ya juu sana kwa wanyinge wa nchi hii. Rais ametusaidia sana kujionyesha hali yake halisi kuhusu wanyonge. Wale walioshindwa kulipia shs. 3000 kwa ajili ya watoto wao wa shule za Msingi, wale walioshindwa kuwalipia watoto wao karo ya shs 20,000 kwa mwaka, wamekuwa na uwezo ghafla kulipa kodi ya shs. 20,000 kwa mwaka? Mlikoroga, mtalinywa na muache kuwasingizia wapizani.
 
Mkuu acha kutengeneza Maisha ya kulia lia,binafsi sina ajira,ila penye ukweli lazima usemwe,hao wajomba /shangazi/ Dada zangu lazima wafanye kazi na kulipa kodi kwa serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni sawa kila mtu lazima afanye wajibu wake.
Viongozi pia wanawajibu wa kuangalia hali ya vipato vya wananchi wao na kuhakikisha inawajengea mazingira mazuri ya kibiashara na mzunguko mzuri wa kifedha na matumizi sahihi ya hizo fedha.

Ni makosa makubwa kutumia fedha za umma kukinufaisha chama kwa maslahi binafsi kwa kutumia fedha za umma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza siasa. rudi kwenye uhalisia.Hizo elfu ishirini ishirini ndo za kuwezesha kutoa hizo huduma? Punguza siasa.
jana nimesafiri na jamaa mmoja mchuuzi wa kuku,anafurahia sana kuwa na kitambulisho.anasema kuwa hapo kabla walikuwa wakidaiwa elfu tano kwa kila tenga la kuku,sasa kwa mwaka mzima ilikuwa hela nyingi sana..kwaiyo kwa vitambulisho hivi wakiwa navyo hawadaiwi chochote...
 
A
Acha uongo we jamaa, Rais alitamka kwamba elfu 20 ni gharama ya kutengeneza hivyo vitambulisho/ vikadi na wala sio malipo ya kodi.
Elfu ishirini ni gharama ya hivyo vijikadi ambavyo havina,jina,picha wala sahihi ya mmiliki.
Kwa maelezo ya aliyetoa hivyo vikadi ni kwamba kwa ajili ya kumtambulisha mmiliki wa hicho kikadi ili asisumbuliwe na askari anapokuwa anafanya biashara zake barabarani
Hata mimi nilimsikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom