Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,036
- 71,267
Unahisi ni kwann unatakiwa akujibu swali/maswali yako????.Mama yako wa Kambo alikuambukiza kivipi? Mlikuwa mnasagana? Alikukata na kitu cha ncha kali chenye HIV+? AU Ulishare Kitu Chenye Ncha kali? Ebu Fafanua hili.
Kwann unatafuta kumrejesha katika kumbukumbu ambazo uenda kwa miaka mingi amejitahidi kukisahau?.
"Dume la Nyani haliogopi Umande"