Habari zenu wana jamii forums natumaini wote muwazima.
Nataka kuhama kutoka T.I.A singida kuja kusoma Dar es salaam, je ni chuo gani kizuri Kwa course ya accountancy level ya diploma.
Naombeni ushauri wenu.
Habari zenu wana jamii,
Nina rafiki yangu alikuwa anasoma Public Administration(Certificate) ameshindwa kufikisha course work kwenye masomo yote. Msaada wenu mtu kama huyu tunamsaidiaje?
Habari zenu wana jamvi, natumaini wote mu wazima.
Je, Kwa mtu aliyesoma Certificate in Record Management Degree anaenda kusoma Course gani?
(Nimejaribu kutafuta sijaona Bachelor in Records Management)
Habari wanajamii.
Nina account ya NMB Chapchap. Nataka nijue maximum deposit (kiasi cha juu kinachoruhusiwa kukaa kwenye account) ni shilingi ngapi?
Na maximum withdrawal (kiasi cha juu ninachoweza kukitoa kwa wakati mmoja) ni shilingi ngapi?
Natanguliza shukrani🙏🙏
Habari zenu wana jamvi natumaini wote ni wazima
Nimefika chuo jumatatu tunaanza usajili lakini mimi nimesahau result slip nyumbani.
Ntafanyaje naombeni msaada wenu.
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima naomba kuelekezwa Kwa watu walioapply certificate selection zao zinatoka lini ?
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Habari zenu wana jamvi
Natafuta stylus pen ya Microsoft surface pro 3.
Mwenye nayo au anaejua vinauzwa wapi Kwa hapa Dar naomba msaada.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Habari zenu wadau.
Je siku ya kwenda kujisajili chuo ni lazima kwenda na birth certificate?
Je ni vitu gani vingine vya muhimu wakati wa kujisajili chuo?
Naombeni msaada wenu wadau.
Habari zenu wana jamvi
Kama kichwa cha habari kinavyosema mimi nipo Dar es salaam Kwa wazoefu waliowahi kutumia kikuu kuagiza baadhi ya bidhaa!
Nataka na mimi niagize sasa nikiagiza bidhaa yangu ntaipata wapi Kwa hapa dar es salaam
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima
Natafuta mtu mwenye uzoefu na maswala ya kununua vitu online
Nataka kuagiza laptop kutoka Amazon
Kama upo tayari njoo pm tuongee biashara.
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima
Natafuta mtu mwenye uzoefu na maswala ya kununua vitu online
Nataka kuagiza laptop kutoka Amazon
Kama upo tayari njoo pm tuongee biashara.
Habari zenu wana jamvi
Kama kichwa kinavyosema hapo nataka kununua laptop Kwa ajili ya kujifunzia(chuo)
Laptop gani n nzuri Na zinakaa Na charge muda mrefu.
Budget yangu ni million Moja
Natanguliza shukrani zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.