Habari zenu wana jamvi
Kama kichwa cha habari kinavyosema mimi nipo Dar es salaam Kwa wazoefu waliowahi kutumia kikuu kuagiza baadhi ya bidhaa!
Nataka na mimi niagize sasa nikiagiza bidhaa yangu ntaipata wapi Kwa hapa dar es salaam
Je hapa Dar wana ofisi? Niliona unatakiwa ulipie oda kabla hawajaleta. Sasa je ikitokea nimelipia na mzigo haukuletwa wapi naweza peleka malalamiko yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.