habari..
tunauza kinywaji cha dragon (energy drink) kwa bei ya jumla
tsh 37000 per caton (24 pic) 500ml
call 0714 9616 61 or 0756 090 222
dar es salaam
Habari zenu waungwana,
kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza natafuta body ya deep freezer ya aina yeyote ile yenye urefu wa futi 6 hadi 8.
Mwenye nalo naomba ani pm.
Liwe ndani ya eneo la dsm.
Habari Jf,
Tunauza Deodarant spray kwa bei ya jumla, bei Tsh 3500 kwa pic1..tunauza kuanzia pic 40 nakuendelea na unaletewa hadi ulipo kwa Dar es Salaam.
Call : 0718 446935
Habari ndg JF
Ninauza tablet yangu nimeitumia mwezi mmoja tu toka iliponunuliwa nI ZTE TABLET bei yake ni 380,000 (laki tatu na themanini). DSM
serious buyer call 0717 163106
SPECIFICATION ZAKE
Nertwork : 2G & 3G
Sim card : YES either TIGO,VODACOM,ZANTEL,ZAIN etc
Body weight : 403 g...
Habari ndg JF
Ninauza tablet yangu nimeitumia mwezi mmoja tu toka iliponunuliwa nI ZTE TABLET bei yake ni 380,000 (laki tatu na themanini).
serious buyer call 0717 163106
SPECIFICATION ZAKE
Nertwork : 2G & 3G
Sim card : YES either TIGO,VODACOM,ZANTEL,ZAIN etc
Body weight : 403...
Habari wana JF...
dhumuni hasa ni kupata kampan kwa ajili ya kupunguza uzito pamoja..natumaini kwa wale wenye uhitaji basi tutaweza kulitatua hili tatizo. njoo tujumuike
1-tujue ni vyakula gani tuweze kutumia kwa ajili ya kupunguza mwili
2-tujue ni matunda gani yanafaa zaidi mf...
Habari zenu wana JF..
Leo nimerudi tena baada ya kupotea kwa muda mrefu nikiwa katika gurudumu la mchakato wa elimu. Nami natoa shukrani zangu za pekee kwa mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kumaliza elimu yangu ya juu. Mdogo wenu nimekuja kupata ushauri ili kuweza kujikomboa katika umaskini...
Habari zenu wana JF..
Nauza BAJAJ aina ya 2stroke zipo katika hali nzuri na zipo barabarani. Kwa kila moja bei yake ni sh MILIONI MOJA NA LAKI NANE (1,800,000 Tshs). Zipo maeneo ya mwenge-DSM opposite na Efatha bank.
Kwa mawasiliano zaidi 0717 163106
Ndug wana JF.,Habari zenu..
Nauza bajaj 2 aina ya 2stroke zipo katika hali nzuri na zinatembea barabarani.
Kwa kila moja bei yake ni sh MILLIONI MOJA NA LAKI NANE (Tsh 1,800,000).
Zipo eneo la Mwenge opposite na Efatha bank.
Kwa mawasiliano zaidi 0717-163106
Habari zenu ndg zangu wa JF, ndugu zangu natafuta kazi ya uhamiaji,elimu yangu ni ya form six. Tafadhali kama kuna mtu anaweza kunijuza au kunielekeza nianzie wapi.
Asanteni sana
Habari zenu wakubwa. naomba ushauri wa biashara ya kufanya,mimi ni kijana niliye graduate mwaka huu ila mpaka sasa sifikirii kuajiriwa nahitaji kujiajiri mwenyewe ili baadaye na mimi nitoe ajira kwa watanzania wenzangu,nimejikusanya na kupata million 3.5 ,kabla ya hapa nlifikiria biashara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.