Search results

  1. B

    Tunauza kinywaji cha DRAGON (energy drink) kwa bei ya jumla

    habari.. tunauza kinywaji cha dragon (energy drink) kwa bei ya jumla tsh 37000 per caton (24 pic) 500ml call 0714 9616 61 or 0756 090 222 dar es salaam
  2. B

    Natafuta BODY YA DEEP FREEZER yenye urefu wa Futi 6 hadi 8

    Habari zenu waungwana, kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza natafuta body ya deep freezer ya aina yeyote ile yenye urefu wa futi 6 hadi 8. Mwenye nalo naomba ani pm. Liwe ndani ya eneo la dsm.
  3. B

    Smart collection (perfumed deodarant spray) zinauzwa kwa jumla

    Habari Jf, Tunauza Deodarant spray kwa bei ya jumla, bei Tsh 3500 kwa pic1..tunauza kuanzia pic 40 nakuendelea na unaletewa hadi ulipo kwa Dar es Salaam. Call : 0718 446935
  4. B

    Tablet for sale

    Habari ndg JF Ninauza tablet yangu nimeitumia mwezi mmoja tu toka iliponunuliwa nI ZTE TABLET bei yake ni 380,000 (laki tatu na themanini). DSM serious buyer call 0717 163106 SPECIFICATION ZAKE Nertwork : 2G & 3G Sim card : YES either TIGO,VODACOM,ZANTEL,ZAIN etc Body weight : 403 g...
  5. B

    Tablet for sale

    Habari ndg JF Ninauza tablet yangu nimeitumia mwezi mmoja tu toka iliponunuliwa nI ZTE TABLET bei yake ni 380,000 (laki tatu na themanini). serious buyer call 0717 163106 SPECIFICATION ZAKE Nertwork : 2G & 3G Sim card : YES either TIGO,VODACOM,ZANTEL,ZAIN etc Body weight : 403...
  6. B

    SPECIAL THREAD : Njoo tupunguze uzito wa mwili pamoja

    Habari wana JF... dhumuni hasa ni kupata kampan kwa ajili ya kupunguza uzito pamoja..natumaini kwa wale wenye uhitaji basi tutaweza kulitatua hili tatizo. njoo tujumuike 1-tujue ni vyakula gani tuweze kutumia kwa ajili ya kupunguza mwili 2-tujue ni matunda gani yanafaa zaidi mf...
  7. B

    Ushauri wa kibiashara,mtaji wa tsh. Million 30

    Habari zenu wana JF.. Leo nimerudi tena baada ya kupotea kwa muda mrefu nikiwa katika gurudumu la mchakato wa elimu. Nami natoa shukrani zangu za pekee kwa mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kumaliza elimu yangu ya juu. Mdogo wenu nimekuja kupata ushauri ili kuweza kujikomboa katika umaskini...
  8. B

    Nauza bajaj aina ya 2stroke

    Habari zenu wana JF.. Nauza BAJAJ aina ya 2stroke zipo katika hali nzuri na zipo barabarani. Kwa kila moja bei yake ni sh MILIONI MOJA NA LAKI NANE (1,800,000 Tshs). Zipo maeneo ya mwenge-DSM opposite na Efatha bank. Kwa mawasiliano zaidi 0717 163106
  9. B

    Nauza bajaj aina ya 2 stroke

    Ndug wana JF.,Habari zenu.. Nauza bajaj 2 aina ya 2stroke zipo katika hali nzuri na zinatembea barabarani. Kwa kila moja bei yake ni sh MILLIONI MOJA NA LAKI NANE (Tsh 1,800,000). Zipo eneo la Mwenge opposite na Efatha bank. Kwa mawasiliano zaidi 0717-163106
  10. B

    Migration Officer

    Habari zenu ndg zangu wa JF, ndugu zangu natafuta kazi ya uhamiaji,elimu yangu ni ya form six. Tafadhali kama kuna mtu anaweza kunijuza au kunielekeza nianzie wapi. Asanteni sana
  11. B

    Biashara ya kufanya kwa graduate/ushauri

    Habari zenu wakubwa. naomba ushauri wa biashara ya kufanya,mimi ni kijana niliye graduate mwaka huu ila mpaka sasa sifikirii kuajiriwa nahitaji kujiajiri mwenyewe ili baadaye na mimi nitoe ajira kwa watanzania wenzangu,nimejikusanya na kupata million 3.5 ,kabla ya hapa nlifikiria biashara ya...
Back
Top Bottom