Habari wana JF...
dhumuni hasa ni kupata kampan kwa ajili ya kupunguza uzito pamoja..natumaini kwa wale wenye uhitaji basi tutaweza kulitatua hili tatizo. njoo tujumuike
1-tujue ni vyakula gani tuweze kutumia kwa ajili ya kupunguza mwili
2-tujue ni matunda gani yanafaa zaidi mf. apple,embe,ndizi
3-pia ni mazoezi gani hufaa zaidi mf. kunyanyua vitu vizito,kuruka kamba au kukimbia
4-na mwisho tupeane feedback ya maendeleo yetu mf. baada ya wiki mbili,ama mwezi, au miezi sita hadi mwaka
nyote mnakaribishwa
dhumuni hasa ni kupata kampan kwa ajili ya kupunguza uzito pamoja..natumaini kwa wale wenye uhitaji basi tutaweza kulitatua hili tatizo. njoo tujumuike
1-tujue ni vyakula gani tuweze kutumia kwa ajili ya kupunguza mwili
2-tujue ni matunda gani yanafaa zaidi mf. apple,embe,ndizi
3-pia ni mazoezi gani hufaa zaidi mf. kunyanyua vitu vizito,kuruka kamba au kukimbia
4-na mwisho tupeane feedback ya maendeleo yetu mf. baada ya wiki mbili,ama mwezi, au miezi sita hadi mwaka
nyote mnakaribishwa