Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko kuwa vijana hawafanyi kazi, saa nne asubuhi wapo wanacheza pool. maswali yangu kwa viongozi wa nchi hii ni....
1. Je mmetenegeza nafasi au kuhakikisha nafasi za hao vijana kufanya kazi zinapatikana? nitatoa mfano wa jinsi Uhamiaji na wizara ya kazi...
Wakuu habari ya leo.
Nina gunia zangu za alizeti hapa Dar, natafuta sehemu kwenye mashine naweza kukamua mafuta. kuna mwenye kufahamu wapi naweza kupata huduma hiyo?
Asante in advance
Wandugu naomba msaada kwa anayefahamu utaratibu wa kununua kitu toka kupatana dot com. Kuna kitu nimekipenda ila owner anasema nilipe kwanza ndio waniletee, na mimi nasisitiza kukiona kwanza ndio nilipe. Yeye anasema kupata watanicontact ili nifanye transactions nao.
Niko changanyikiwa kidogo...
Habarini wanandugu.
Msaada tutani,ninataka kununua au niseme kuagiza gari aina ya BMW series 1 au3. Ninaomba ushauri kwa wenye uzoefu na magari haya yasiyo TOYOTA. Hizi gari zafaa huku kwetu spea je zapatikana? unanishauri nini.
Ipi ni njia nzuri na ya usalama zaidi kuagiza gari na wapi...
wakuu,
Nina tatizo kidogo na internet yangu, siwezi ku access baadhi ya sites kama google, gmail, blogspots, yahoo mail. Lakini naweza ku access nyingine kama hotmail, jamii forums na baadhi zisizo za kiswahili.
Hii kitu imeanza kama siku mbili zilizopita, firefox wananiambia nicheck DSN...
Ndugu wapendwa,
Naomba msaada wenu yeyote mwenye email address za Tumaini Univ, Iringa naomba anisaidie tafadhali, Kama ikipatikana ya VC itakuwa na msaada mkubwa zaidi.
Natanguliza shukrani
Paschally Mayega
RAIS wangu tumewafikisha wananchi wetu mahali wanapowaza zaidi ya nyuma kuliko ya mbele. Wananungunikia yaliyopo na kuhofia yanayokuja.
Wamejaa woga. Wasiwasi umetanda. Tumewaondolea furaha na kuwafutia matumaini. Tanzania isiyo na matumaini inamnufaisha nani? Msiba wa...
Mzee Chifupa: Bado tunachunguza vigogo waliomwua Amina
na Prisca Nsemwa
DUNIA imetakiwa kusimama imara na kwa nguvu ili kupinga dawa za kulevya kwa kuwa zina athari kubwa kwa jamii, hasa vijana.
Katibu wa Mfuko wa Amina Chifupa ambaye pia ni baba wa Amina, Luteni Hamis Chifupa alisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.