kkiwango Senior Member Aug 27, 2007 173 14 Mar 9, 2008 #1 Hongera kwake, Je ndio safari ya kuelekea kwenye jukwaa la siasa za Tanzania au itaishia hapo hapo??
M Morani75 JF-Expert Member Mar 1, 2007 613 19 Mar 9, 2008 #2 Kkiwango..... Umetuacha wengine kapa hapo Mkuu.... Who is he?? What is UPTC??? Safari ya kisiasa? Hebu weka nyama bwana manake umetuwekea skeleton tu Mkuu!!! Ilivyo mimi sioni hoja ya kuanza kuichambua humu jamvini!!! Tukiachana na hayo naomba nikukaribishe jamvini Mkuu....
Kkiwango..... Umetuacha wengine kapa hapo Mkuu.... Who is he?? What is UPTC??? Safari ya kisiasa? Hebu weka nyama bwana manake umetuwekea skeleton tu Mkuu!!! Ilivyo mimi sioni hoja ya kuanza kuichambua humu jamvini!!! Tukiachana na hayo naomba nikukaribishe jamvini Mkuu....
M Mugishagwe JF-Expert Member Apr 28, 2006 300 58 Mar 9, 2008 #3 kkiwango said: Hongera kwake, Je ndio safari ya kuelekea kwenye jukwaa la siasa za Tanzania au itaishia hapo hapo?? Click to expand... Kiwango bwana . Sasa ndiyo unatufanyia nini ? Hebu tumwagie nasi tujue kipi kinajiri ndugu .
kkiwango said: Hongera kwake, Je ndio safari ya kuelekea kwenye jukwaa la siasa za Tanzania au itaishia hapo hapo?? Click to expand... Kiwango bwana . Sasa ndiyo unatufanyia nini ? Hebu tumwagie nasi tujue kipi kinajiri ndugu .