Wewe mzee hutumii pombe?impact ya maneno yaliyoandikwa kule zeutamu naona imemwelemea
mtoto wa kiislam alikuwa anatangaza pombo mwezi wa ramadani
halafu anashangaa mambo yake hayaendi
Alitangaza pombe au alikua anakunywa pombe kivyake wabongo wakaamua kumwanika?