Wataalamu na wenye uelewa kidogo wa hili suala. Hili ongezeko huwa linakuwaje
1. Ni asilimia ngapi!??
2. FlatRate kwa watumishi wote!??
3. Kulingana na madaraja ya watumishi!??
4. Au atakavyoamua Rais!??
Nawasilisha
Wasalaam wakuu humu ndani,
Mwezi ujao natarajia kuingia dukani kuchukua chombo cha usafiri pikipiki.
Kuna hivi vyuma Boxer na tvs kwa haraka haraka unaweza ukadhani ni vyuma sawa.
Lakini wataalamu na wazoefu wanavijua vema kipi kinamzidi mwenzake.
Naomba ushauri wenu ipi ni nzuri hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.