Degelingi_One
Member
- Nov 17, 2018
- 72
- 122
Wataalamu na wenye uelewa kidogo wa hili suala. Hili ongezeko huwa linakuwaje
1. Ni asilimia ngapi!??
2. FlatRate kwa watumishi wote!??
3. Kulingana na madaraja ya watumishi!??
4. Au atakavyoamua Rais!??
Nawasilisha
1. Ni asilimia ngapi!??
2. FlatRate kwa watumishi wote!??
3. Kulingana na madaraja ya watumishi!??
4. Au atakavyoamua Rais!??
Nawasilisha