Habari za wakati huu ndugu na jamaa, mimi ni mhanga wa tatizo la mbao za nyumba yangu niliyopaua miezi 9 iliyopita toka mwezi wa 9 mwaka jana ila kufika leo hii nasikia juu kwenye dali kelele za wadudu kama wanakula mbao asubuhi pia nikiamka naona kuna uchafu wa mbao kuliwa kama unga unga...
NASHUKURU SANA KWA USHIRIKIANO WENU VITU KARIBU VYOTE VIMESHAUZWA KASORO FENI YA UKUTANI TU NDO ILIYOBAKI
Habari za mda huu wajameni, nadhani mko poa baada ya pasaka, leo nakuja kwenu kama kichwa cha mada kinavojieleza, mimi baada ya kuhamia nyumba ya isiyo na umeme kwa sasa.
Vitu vyenyewe ni...
Habari za mda huu ndugu zangu, najua mko poa kuelekea kusherehekea sikuu ya Xmas na Mwaka mpya
Wakuu kama kichwa cha uzi kinavojieleza naomba kujua je,!? Kuna hizi zinavoonekana kweny picha [emoji116][emoji116]phone za wireless za kuvaa shingoni ndogo ndogo zenye kunasa fm radio maana nyingi...
MABATI SOLD OUT BIASHARA IMESHA FANYIKA YAANI MABATI TAYARI YAMESHANUNULIWA NAWASHUKURU WOTE NA SAMAHANI KWA USUMBUFU, BIASHARA NAZOFANYA NO RONGO RONGO SIKU NYINGINE CHANGAMKA
Mabati yanauzwa kwa bei ya kutupa ni ya migongo mipana maarufu mabati ya msauzi yapo pc12 urefu upana cm85 gaji30 ni...
Wakuu samahan hivi vpn inaweza kuboost speed ya internet maana huku tz net za mitandao mingi ziko slow kama mnavojua maana nyie sio wageni wa nchi hii, najua watu wengi wanatumia vpn kwa ajili ya kupata ku access net hasa baada ya tcra kufanya yao na wengine kwa ajili ya usalama yaani kuficha...
Habari za mda huu wajameni, naombeni msaada wenu wa hali na mali, simu yangu nikiingia Instagram nikamfollw mtu inaji unfollow ndani ya kama dakika 1 baadae, ni wapi nakwama au kuna masherti katika hili na je inatakiwa kufollow watu wangapi kwa kila baada ya mda gani? Nahitaji kuwa follow baadhi...
Samahan kwa usumbufu wakuu naomba kujuzwa maana ya maneno haya rangi nyekundu yanayosomeka "Custom Binary bloked by FRP Lock" hii ni simu ya Samsung j7 neo ambayo kuna mtu anataka kuinunua sasa kaja anataka nimsaidie kuiangalia kama inafaa anunue ila baada ya kuweika chaji inaonyesha kwa kipo...
Samahan kwa usumbufu wakuu naomba kujuzwa maana ya maneno haya rangi nyekundu yanayosomeka "Custom Binary bloked by FRP Lock" hii ni simu ambayo kuna mtu anataka kuinunua sasa kaja anataka nimsaidie kuiangalia kama inafaa anunue ila baada ya kuweika chaji inaonyesha kwa kipo pup juu ya screen...
Wakuu kama ilivo ada nawasalimu wote baada ya salam husika na kichwa cha habari kama kinavyojieleza mimi ni baba wa mke mmoja na watoto 2 wote wanasoma, naishi Dar maeneo ya Tabata nina mali zisizo hamishika kama kiwanja chenye pagara ambalo bado kuezeka tu cha vymba vi3 maeneo ya Kifuru.
Nina...
JINSI YA KUTUMIA AU KUANGALIA CHANNEL ZA DSTV KWENYE SIMU YAKO YA SMARTPHONE [emoji336] AMA COMPUTER [emoji985] NA LAPTOP IWE YA IPHONE, IPAD, TABLET HATA KAMA HUNA KING'AMZI CHA DSTV
Kwanza kabisaa kama una kisimbuzi, king'amzi cha Dstv jisajili na Dstv kwa kuingiza namba za smart and za Dstv...
Habari za muda huu wajameni natumai mko salama kabisa nami ni mwingi wa afya. Baada ya salamu husika na kichwa cha uzi huu hapo juu.
Dah leo app ya Azam Tv Max kwangu nikiifungua inaniandikia hivi sijui tatizo ni nini au hata kwenu haifunguki maana nataka kutazama mechi ya Simba na baaadae ya...
Wakuu,
Nijielekeze moja kwa moja kwenye mada tuambiene ukweli.
Hivi wewe huwa unatumia condom? Kama ndio ni kwanini na kama sio ni kwanini?
Mimi situmii kwa kuwa huwa zinaniwasha, halafu nikitumia huwa naona kama nimeibiwa pesa zangu yaani naona kama nimefanya condom na sio mwanamke.
Wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.