Wiwachu
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 809
- 923
Habari za mda huu ndugu zangu, najua mko poa kuelekea kusherehekea sikuu ya Xmas na Mwaka mpya
Wakuu kama kichwa cha uzi kinavojieleza naomba kujua je,!? Kuna hizi zinavoonekana kweny picha phone za wireless za kuvaa shingoni ndogo ndogo zenye kunasa fm radio maana nyingi nazokutana nazo huwa hazina fm radio zina kuwa na sehemu ya kuwema sd card na flash tu ila inayokamata na stesheni za radio cjawahi kuona nazihitaji naikaona nije niwaulize wana family ya Jf maana hawashindwi kitu coz ni wengi na wako sehemu tofaut tofaut,
Kama zipo nitazipata wapi hasa kampuni hiyo au yingine yoyote ila hiyo nimeipenda inakaa na chaji sana bei gani ya makadilio?? Niko dar nilikuwa nataka nikazisake town kariakoo ila kabla sjafanya ivo naomba mnipe uhakika hapa staki kupoteza nda wangu kumbe labda hazipo nazotaka zenye radio
Natanguliza shukrani, karibuni kwa michango
Wakuu kama kichwa cha uzi kinavojieleza naomba kujua je,!? Kuna hizi zinavoonekana kweny picha phone za wireless za kuvaa shingoni ndogo ndogo zenye kunasa fm radio maana nyingi nazokutana nazo huwa hazina fm radio zina kuwa na sehemu ya kuwema sd card na flash tu ila inayokamata na stesheni za radio cjawahi kuona nazihitaji naikaona nije niwaulize wana family ya Jf maana hawashindwi kitu coz ni wengi na wako sehemu tofaut tofaut,
Kama zipo nitazipata wapi hasa kampuni hiyo au yingine yoyote ila hiyo nimeipenda inakaa na chaji sana bei gani ya makadilio?? Niko dar nilikuwa nataka nikazisake town kariakoo ila kabla sjafanya ivo naomba mnipe uhakika hapa staki kupoteza nda wangu kumbe labda hazipo nazotaka zenye radio
Natanguliza shukrani, karibuni kwa michango