nina rafiki yangu kaniomba ushauri na mimi sikuweza kumpatia majibu
ameolewa wana miaka mi4 sasa ktk ndoa na wamebarikiwa mtoto wa kike .......mume wake ni doctor private hospital....
mara ya kwanza alikua anarudi sa moja au akichelewa sana sa mbili ila alikua hazidishi hapo......miezi 6...
unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli
jamani wapendwa niliwamiss sana .nashukuru kwa wale waliokuwa wamenimiss na kunitakia heri na fanaka.
wiki tatu hizi nitazitumia kupitia thread zilizopita ili niji update
Mke alipoona mme wake ameenda safari ya mbali akaamua atoke nje ya ndoa ili atulize hamu yake,akaamua kumleta mwanaume wake nyumbani,Siku moja usiku mme akarudi kutoka safarini na alipofika kwake akaanza kupanda ngazi kuelekea gorofa la pili ilipo chumba chake yeye na mkewe,akakuta kuna...
Hamjambo wapenzi?jamani mkesha wa mwaka mpya bongo ulikuwa na mambo mengi hebu sikieni hii Mjeda kaenda kusalimia kimada chake maeneo ya vingunguti kama kawaida ya wanaume mabazazi kumbe alikuwa anawachanganya mtu na shost yake wote wanafanya kazi sehemu moja,sasa wakati amsindikiza huyo...
PTUUUUUU hEBU TEMENI MATE KWANZA...
Hivi mwanamke ni kuvaa tu nakupendeza?
yaan kuna mdada maridhawa mrembo tena
mpana mijisifu kibao kuna siku nilikuwa kwake
twapiga story mbili tatu hamadiii kojo likanibana
nikaomba kwenda washingroom jaman jaman jaman
yaaan tena kwa mapana akanambia...
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau na anaendelea kukupenda!!!
...
UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa...
nina rafiki yangu yuko chuo kimoja maarufu hapo tz ana mvulana wake na yy pia ni mwanafunzi ila chuo ikoiko
anampenda sana mvulana wake ila hamuamini sana kwasababu ya vitendo vya huyo bwana kuonesha kua ana wasichana wengine anawasiliana nao fb kupita kiasi na some times ktk simu pia ila kila...
http://youtu.be/sZmpsVLMqik
Ooh baby
I love the way you make me feel
It slows down time
Come in my bedroom and turn off the lights
You whisper softly in my ear
Makes me unwind...
nasikia maumivu sana moyoni mwangu na ni makali sana cwez kujizuia nahisi kama moyo unavuja damu ndani kwa maumivu niliyonayo...........hali hii hunitokea kila nikipata kitu chochote cha kunishtua .........niliwai kwenda medical wakaniambia cna tatizo lolote ila mm maumivu nayackia ndani ya moyo...
mwalimu ni mwana kinoma yani hadi raha mpaka chichogoni.......walimi kama hawa mm nawamind kinoma yani mana hachapi waala nn na akikuita utasiki oyoooooo jibu swali kama vipi usinizingue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.