Nimenunua T-SMART ya tigo, mpaka sasa nimegundua yafuatayo kwa simu hii:
1. Kasi yake ya internet (ukitumia wi-fi) ni nzuri, video za youtube zinacheza vizuri bila kukwama.
2. Whatsapp inafanya kazi vizuri tu, ila haisapoti document messages (doc, docx, xls, pdf e.t.c.).
3. Unaweza kuimport...
Kuna rafiki yangu kaomba NIN kwa kutumia mfumo wa msg kwenda 15096, akajibiwa hivi 👇
Baada ya majibu hayo nikaingiza taarifa zake kwenye portal, namba yake (NIN) ikatolewa muda huo huo.
Ingia hapa 👇
https://services.nida.go.tz/nidportal/Login.aspx
Kisha chagua Fahamu namba yako (NIN) , itakuleta hapo 👇
Ingiza taarifa zako sahihi kama ulivyojaza kwenye fomu, kisha gusa Tafuta . Kama namba yako ipo tayari watakuonesha.
Mpaka sasa nimetumia njia hii kupata namba (NIN) za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.