Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 4,953
- 6,071
Naam, Mimi nilisoma hili somo tena kwa ushauri wa rafiki yangu pale Azania,issue ikaja mwalimu wa somo hamna pale Azania ila kwa vile tulitaka sifa basi tukasaini,
Mwl wa Tuition jamaa anaitwa Log man pale mchikichini daah nilipambana nikaenda Jitegemee kulikua na dada nae anasoma hilo somo so alinipigia mapindi, mwisho wa siku Basic Mathematics nilipata A na Additional Mathematics C,
Mwl wa Tuition jamaa anaitwa Log man pale mchikichini daah nilipambana nikaenda Jitegemee kulikua na dada nae anasoma hilo somo so alinipigia mapindi, mwisho wa siku Basic Mathematics nilipata A na Additional Mathematics C,