ommy clear
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 214
- 57
Habar waungwana ivi kumbe kuna uwezekano wa mtu kusoma uhasibu bila ufaulu wa math's na akafanya vizuri kuliko waliofaulu math's, hii nimeandika baada ya mshikaji kupiga diploma ,degree then akaenda kupiga CPA na sasa yuko sehem anakula utawala kumbe pia inawezekana kua muhasibu mzurii bila kufaulu math's eti muhimu ujue kujumlisha kutoa kuzidisha na kugawanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app