Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,348
Hakuna lililo na mwanzo lisilo na mwisho
Mi japo korona ni hatari Ila Mimi sio Kama ni kitu kipya
Ni pattern ile ile ya matukio ya ulimwengu yanayojirudia Miaka kwa Miaka
Huku nyuma zamani sana dunia iliwahi kumbwa na magonjwa Aina plague za Aina mbali mbali zilipita dunia ikabaki na watu wake
So the pattern au historia inajirudia so nothing new labda new virus but it can't wipe the entire human kind
So tupambana tu kadri ya uwezo wetu kulingana naushauri wa madaktari na tuwaonbe walio maabara wafanikishe chanjo na matibabu ya huu ugonjwa upite dunia iendelee
Aluta continua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi japo korona ni hatari Ila Mimi sio Kama ni kitu kipya
Ni pattern ile ile ya matukio ya ulimwengu yanayojirudia Miaka kwa Miaka
Huku nyuma zamani sana dunia iliwahi kumbwa na magonjwa Aina plague za Aina mbali mbali zilipita dunia ikabaki na watu wake
So the pattern au historia inajirudia so nothing new labda new virus but it can't wipe the entire human kind
So tupambana tu kadri ya uwezo wetu kulingana naushauri wa madaktari na tuwaonbe walio maabara wafanikishe chanjo na matibabu ya huu ugonjwa upite dunia iendelee
Aluta continua
Sent using Jamii Forums mobile app