mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
Mkuu ni graphic ilizingua
Mkuu ni graphic ilizingua
Asante mkuu brower ni kitu gani? na hizo graphics card zinakaa ndani upande ganiMkuu hio ni graphic hapo ni kuifungua na kuipasha joto hio graphics cad kwa brower
Unatumia system ipi? x86 (32 bits) au x64 (64 bits)?mkuu pc yangu nikifungua baadhi ya program inaleta ujumbe "window can not open this App" natumia window 10
huku unatafuta nini kwako si kweñye mada za vyuraFundi makini nipo hapa! View attachment 1361014
Asante mkuu brower ni kitu gani? na hizo graphics card zinakaa ndani upande gani
huku unatafuta nini kwako si kweñye mada za vyura
Inatatizo la power kuna ice za power mbili kwenye bodi ya pc karibu na terminal ya betri fungua upime kama una mita , na chanzo mara nyingi cha tatizo hilo huwa ni adspter huwa inasababishaKama ilipiga shoti tafuta Fundi ambaye ataitoa shoti kwanza, kisha kama tatizo lisipokuwa solved Fundi atarekebisha zaidi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo hilo ni tatizo la mkanda wa keyboard umepata mtikisiko hivyo !! Jaribu sana kujiifungua toa mikanda halafu urudishie vizuriPc yngu imekumbwa na matatizo yafuatayo naombeni msaada wenu.
1: sensor ya caser imeacha kufanyaa kaz ghafra tu yaan haisens kabsa huwa natumia mouse tu japo spendi.
2: kuna baadhi ya keypad hazibonyezeki kabsa.
3: na juzi nimeshangaa nikibonyeza keypad inatoa sauti afu hairespond chochote adi ubonyeze mara mbili kwa kukandamiza kidogo ndo itarespond.
Nashindwa ata kuandka mambo yangu,nmejarbu kutumia external keyboard lakini haijasaidia tatizo lipo palepale.
Fanya kuapragrade window usi format partion itakaa poaMkuu naomba nisaidie hapa.
juu ya kuokoa mafile na vitu vyangu kwa hii laptop. Niliweka flash yenye virus bila kujua, nilipoona tu shortcuts kibao na sytem volume nikaitoa haraka.kuja kuclick kila app, kila nyimbo, kila document haifunguki!
Inaniletea hiyo sms hapo chini.View attachment 1336880
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nayo !!! Kwa muda ikauke vixuri....Aisee za usiku huu. Tatizo langu ni moja ,adapter yangu imelowa maji kwenye begi due to rain. Nikiichomeka kwenye socket inawaka but haiwashi laptop?
Unatumia system ipi? x86 (32 bits) au x64 (64 bits)?
Naweza na Nilishawahi fungua we nipe maelekezo tu mkuu yakuipata hiyo graphics chipTafuta fundi tu mkuu maana kama huna uzoefu hutaweza fungua hio PC
Jamani mjuzi wa kuinstall printer laserjet mfp 125nw naomba msaada wake mimi nainstall inakataa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sehemu gani?