Lkn kiongozi km kweli sisi ni mifugo ya Mungu mbona sijawahi kuona Mungu akimchinja binadamu Ili amfanye kitoweo? Km ilivyo kwa kuku, ng'ombe n.k? Au unamaanisha Mungu huwa anakula mizoga? Piga magoti uombe msamaha kwa Mungu. Mungu amekupa ufahamu kuliko wanyama wote pia amekuumba kwa mfano...
Ni kweli mm naunga mkono hoja, maana kinachoendelea sasa hivi ni kupromote hiyo filamu badala kuhamisisha utalii, mm naamini kwy hii filamu tungemtumia mtu maarufu km vile Willy Smirth hata km tungetumia Bil 50 kuandaa, lkn lazima fedha zingerudi tu, watu wangeinunua hiyo filamu kwa wingi, pia...
Hii vita ni ya kimkakati, miaka kadhaa ijayo Urusi itavamiwa na NATO, kinachofanyika sasa hivi ni kusoma uwezo wa Silaha za Urusi, kwa mtazamo wangu hii vita ilipangwa na NATO na Urusi nae kaingia Kichwa Kichwa, watu sasa hivi wapo kazini kuangalia uwezo wa Silaha zake tu.
Hbr Wana JF
Mimi ni mjasiliamali, najihusisha na ununuzi wa mashamba kisha huwa nakata viwanja.
Mwaka 2020 nilipata dili ambalo kiujumla ndio ilikuwa dili yangu ya kwanza kubwa, kuna jamaa yangu aliachiwa Shamba kulisimamia ambalo lina ukubwa zaidi ya heka 3.
Jamaa alinijulisha ya kuwa...
Sawa hatuwezi kuajili watu kwa sababu kupanda vyeo, lkn ujue kila Mwaka watu wanastaafu, wimbi la Askari wanaostafu ni kubwa Sana kuliko wanao ajiliwa, swala kupanda vyeo ni matakwa ya kisheria za Kazi na uhitaji, inawezekana usipandishe vyeo sawa lkn kuna jukumu fulani Ili litekelezwe ni lazima...
Kwani Urusi anatengeneza Silaha kwa ajili USA tu? Swali la kujiuliza Urusi ana muweza USA kijeshi? Hivi mnakumbuka USAR ilikuwa na nguvu zaidi duniani lkn unakumbuka nini kiliitokea mpaka ikasambaratika? Nani alihusika na kusambaratika kwa USSR? US walihusika kwa asimia 💯. US hatujawahi...
Unachokisema halina maana Sana katika mbinu za kivita kwa sababu zifuatazo:-
1. Ukubwa Silaha hutokana na aina ya Maadui unao walenga au walio kuzunguka.
2. Uchumi wa nchi pia, maana kuna Silaha ambazo Zina ghalama kubwa kuanzia ununuaji Hadi utunzaji wake.
3. Ukubwa wa jeshi pamoja na...
Ndugu wanajanvi mimi ni mkazi wa DSM Kigamboni, nahitaji kupata mshirika ili tuweze kwa pamoja tufungue dispensery, mimi nitatoa eneo na majengo.
Tuwasiliane kwa namba 0713851751
Kuna rafiki yangu tunaishi nae Kibamba, ni mfanya biashara wa kununua mashamba na kuuza. Hivi karibuni aliingia kwy matatizo baada ya kununua eneo akaamua kulikatakata viwanja, aliuza viwanja kwa wateja Kama watatu hivi, ndipo ilipokuja kubainika eneo Hilo kuwa Lina mgogoro wa kifamilia, ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.