Nimekutana nayo mahali nimeona nishee (Copy&Paste),
Makadirio ya chini ya umbali kwa cc 1400s hadi 1500s
GAS KILO 1 NI SHILINGI 1590[emoji95][emoji95]
Kg 15 inatembea km 230
Kg 11 unatembea km 180
Kg 9 inatembea km 120
Huu umbali unatofautiana kulingana na cc za engine yako.
Ukifunga gas...
Kwa masikitiko makubwa naandika thread hii
nina kijana wangu kasoma st kayumba shule moja hapa kibaha mjini selection zimetoka amefaulu Tumbi secondary matokeo nimeyapata official kutoka website ya tamisemi(tamisemi.go.tz) lakini cha ajabu leo wazazi tumeenda kwenye kikao kwa ajili ya...
Habari wakuu,
Inasikitisha sana kuwa na ndugu wa aina hii lakini Mungu ameshapanga. Nia na madhumuni ya kuandika ni kuomba msaada kwenu kama kuna tiba ya tabia hizi aidha iwe ya hospital au ya kienyeji.
Natanguliza shukrani
***********UPDATES***********
KAMA NILIVYOSEMA AWALI KWENYE COMMENT...
Habari wakuu,
Nimepata tatizo ambalo kimsingi sio kubwa sana na pia sio dogo sana, ni la wastani. Lakini kwa wahusika ni jepesi sana, linaweza tumia dakika 1 kuwa solved.
Ipo hivi: Nina Gmail account yangu ambayo huwa naitumia katika shughuli zangu muhimu sana siku moja nikatumiwa verification...
Habari wakuu,
Nimekuja mbele yenu naomba msaada. Nimepoteza ladha ya mdomo lips zangu zinakuwa nyekundu sana hasa ya chini pia lips ya chini inakuwa kama imevimba na kufa ganzi mdomo hauna ladha kabisa nakuwa kama mtu aliyetumia dawa ilihali sijatumia dawa yoyote msaada wakuu.
Nini tatizo...
Wasalaam,
Kama swali linavyojieleza hapo juu ipi ni pikipiki bora kati ya Haojue na Kinglion kuanzia kimuonekano, speed, kudumu na nguvu.
Pia ipi ambayo imeteka sana soko la tz kati ya hizo pikipiki mbili.
Karibuni tujadili
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasalimu wakuu,twende moja kwa moja kwenya Mada.
TUPAC AMAR SHAKUR alizaliwa mnamo tarehe 16 mwezi juni mwaka 1971 ni mtoto wa kiume wa mwanamama AFENI SHAKUR ambaye alikuwa ni mwana harakati wa kupigania haki za watu weusi...wakati Afeni akiwa na ujauzito wa tupac alihukumiwa kwenda jela na...
Salute bosses,
Nakuja na hii ofa mbele yenu karibu nikufundishe kutotoresha mayai kwa njia ya asili Ambapo njia hii haitachukua kiasi kikubwa cha mayai.
Vilevile Kutengeneza eggs incubator hatching 5000 eggs ambayo ina ufanisi wa kutotoa 95% mashine itakuwa full automatic pia tunatoa somo la...
Habari,
Chama cha wafugaji wa kuku SUMBAWANGA kinapenda kuwatangazia wateja wake wote pamoja na wananchi kwa ujumla kuwa ifikapo tar 1/08/2018 vifaranga vya aina mbalimbali vitapatikana kwa bei poa
AINA ZA VIFARANGA NA BEI(VIFARANGA NI VYA SIKU MOJA)
1.SASSO=1900(stock vifaranga 5000)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.