protogonist
Senior Member
- Feb 27, 2018
- 179
- 226
Nimekutana nayo mahali nimeona nishee (Copy&Paste),
Makadirio ya chini ya umbali kwa cc 1400s hadi 1500s
GAS KILO 1 NI SHILINGI 1590
Kg 15 inatembea km 230
Kg 11 unatembea km 180
Kg 9 inatembea km 120
Huu umbali unatofautiana kulingana na cc za engine yako.
Ukifunga gas kwenye gari haimaanishi mfumo wa zamani wa mafuta unaondoka hapana!! Ila unakuwepo na ukiamua kuswitch unaswitch mwenyewe kwamba sasa nataka kutumia mafuta au sasa nataka kutumia gas.
Sisi tuna-iset gari iji switch automatically kwenda kwenye gas ikifika r.p.m ya 500. Tunafunga gas kwenye magari ya petroli kwa mkoa wa dar es Salaam TU kwa utaalamu wa hali ya juu unaofanywa na wahandisi wa magari wa NIT na kuifanya gari yako kutembea bila gharama kubwa za mafuta.
Pia ukifunga gas kwenye gari yako utaifanya engine yako kuishi maisha marefu zaidi kwa kuwa gas ni clean zaidi ya mafuta hivo inachomwa vizuri na inasaidia kutunza mazingira kwa sababu inafanya complete combustion.
WARRANTY MIEZI 6
“Kanuni mpya ndani ya sheria ya Mazingira inamtaka mwekezaji mpya wa kisima cha mafuta kuhakikisha anaweka miundombinu ya gesi asilia yani CNG Vinginevyo hatopatiwa leseni” hayo yamesemwa na Waziri wa muungano na Mazingira. Selemani Jaffo
Bei (gharama) za ufungaji
A;
~ Milioni 2.5 kwa mtungi wa kilo 15
~ Milioni 1.9 Kwa mtungi wa kilo 11
~ Milioni 1.8 kwa mtungi wa kilo 9
B;
Pia kuna kufunga kwa mkopo wa Maendeleo Bank ambapo wao wanakulipia kila kitu na gharama zote na mteja anatakiwa kupeleka Tsh. elfu 50 kila week hadi anamaliza deni lake.
Kumbuka, hii system ukifunga inakuwa ni ya kwako hivo ukiuza gari unaweza ukaitoa na kufunga kwenye gari lingine utakalo nunua.
Location: Tunapatikana NIT Mabibo
Namba: 0683477676
WhatsApp: 0683477676
Makadirio ya chini ya umbali kwa cc 1400s hadi 1500s
GAS KILO 1 NI SHILINGI 1590
Kg 15 inatembea km 230
Kg 11 unatembea km 180
Kg 9 inatembea km 120
Huu umbali unatofautiana kulingana na cc za engine yako.
Ukifunga gas kwenye gari haimaanishi mfumo wa zamani wa mafuta unaondoka hapana!! Ila unakuwepo na ukiamua kuswitch unaswitch mwenyewe kwamba sasa nataka kutumia mafuta au sasa nataka kutumia gas.
Sisi tuna-iset gari iji switch automatically kwenda kwenye gas ikifika r.p.m ya 500. Tunafunga gas kwenye magari ya petroli kwa mkoa wa dar es Salaam TU kwa utaalamu wa hali ya juu unaofanywa na wahandisi wa magari wa NIT na kuifanya gari yako kutembea bila gharama kubwa za mafuta.
Pia ukifunga gas kwenye gari yako utaifanya engine yako kuishi maisha marefu zaidi kwa kuwa gas ni clean zaidi ya mafuta hivo inachomwa vizuri na inasaidia kutunza mazingira kwa sababu inafanya complete combustion.
WARRANTY MIEZI 6
“Kanuni mpya ndani ya sheria ya Mazingira inamtaka mwekezaji mpya wa kisima cha mafuta kuhakikisha anaweka miundombinu ya gesi asilia yani CNG Vinginevyo hatopatiwa leseni” hayo yamesemwa na Waziri wa muungano na Mazingira. Selemani Jaffo
Bei (gharama) za ufungaji
A;
~ Milioni 2.5 kwa mtungi wa kilo 15
~ Milioni 1.9 Kwa mtungi wa kilo 11
~ Milioni 1.8 kwa mtungi wa kilo 9
B;
Pia kuna kufunga kwa mkopo wa Maendeleo Bank ambapo wao wanakulipia kila kitu na gharama zote na mteja anatakiwa kupeleka Tsh. elfu 50 kila week hadi anamaliza deni lake.
Kumbuka, hii system ukifunga inakuwa ni ya kwako hivo ukiuza gari unaweza ukaitoa na kufunga kwenye gari lingine utakalo nunua.
Location: Tunapatikana NIT Mabibo
Namba: 0683477676
WhatsApp: 0683477676