Wakuu hope mpo poa,
Hii ni thd ya kujifurahisha tu "Jokes"
Tunge sentensi kwa kutumia neno Simu ilikua kwa fundi,
Naanza na hii,
Hongereni sana mashabiki wa Argentina kwa kutwaa kombe la Dunia,sikuwezi kutoa hongera zangu kwenu mapema coz simu ilikua kwa fundi,
Twende kazi......
Mchezaji wa soka Louis Suarez raia wa Uruguay aliyekua akiichezea Club ya Barcelona ya Spain toka mwaka 2014 - 2020 akitokea Liverpool,aliambiwa na kocha mpya wa Barcelona Ronald Koeman kua alikua na uwezo mdogo wa kucheza soka la ushindani na umri wake umeenda hivyo hakua kwenye mipango ya...
Wakuu hope kila mtu yupo katika hali njema na kwa wale wanaopitia kwenye matatizo ya kimaisha iwe maradhi au hali ngumu ya kiuchumi hope Mungu ataweka unafuu.
Mwaka 2020 ndio tunaelekea kuumaliza na kuukaribisha mwaka 2021.
thd hii tujadili kwa kila mmoja wetu ni jambo/mambo gani ambayo...
Wakuu,mada hii ni maalum kwa wazazi au walezi wa watoto,changamoto tunazopitia katika malezi ya watoto na jinsi ya kukabiliana nazo,wote tunatambua kua malezi ya watoto ni muhimu na watoto ndio taifa la kesho,maadili mema,utambuzi wa mambo na mengineyo,mtoto huanza kujifundisha kupitia watu...
Robert Nesta Marley maarufu zaidi kwa jina la Bob marley,alifariki siku kama ya leo 11-may-1981
Bob marley alizaliwa Jamaica tarehe 6-2-1945 kwa mama mjamaica Cedella malcolm booker,na baba yake ni mzungu Norval marley mwenye asili ya Uingereza,
Bob marley alipata umaarufu na mafanikio zaidi...
Forbes imetoa list ya matajiri duniani 2018,Jeff bezos anashika namba moja wakati Bill gates kashuka mpaka kwenye namba mbili..
#1 Jeff Bezos $112 B 54 Amazon United States
#2 Bill Gates $90 B 62 Microsoft United States
#3 Warren Buffett $84 B 87 Berkshire Hathaway United States
#4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.