Simu ilikua kwa fundi

Simu ilikua kwa fundi ndio maana nikawa sikujibu sms zako ila hela bado inahitajika ya matengenezo
Ahsante nauli na ya kutolea nimeiona ila kwa kuchelewa, simu ilikua kwa fundi.....


(Siji tena)
aisee jana simu ilikua kwa fundi sikupatikana siku nzima
πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†
 
Nitakutumia hela zako kwa Mpesa,simu ikitoka kwa fundi coz mpaka sasa hivi sijamlipa fundi japo simu imesha pona!
 
Back
Top Bottom