wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a [emoji117]mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG[emoji16])
[emoji117]Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Mkuu nilishusha mansion ya kwenda maeneo ya kibada nikavuta na kausafiri kangu tako la nyani starehe zikanizidia mpunga umekata najipanga kuanza upya mzee but sio mbaya ilikuwa ni ujana na ninacho cha kujivunia kwamba muda wangu haukupotea bure....pesa inatafutwa tu mzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.