Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,743
- 26,278
Nashangaa mnawadanganya watoto wenu mnakuja na kutudanganya tuliosoma pamoja...shule zetu form two nakumbuka ndio tulianza kusoma mwili wa binadamu wakati sasa hivi wanasoma watoto wa darasa la pili mpaka la Tatu nilikua naangalia daftari la mtoto wa Physics darasa la sita kipindi hiki ni Form two na miaka ile watoto wanasoma mambo ya Resistance wapo shule ya msingi harafu mnataka kudanganya watu kuwa nanyi mlipokua primary mlisoma mambo ya Resistance...Kuna mtoto anaefeli darasa la saba miaka hii???
Kama mwanao yupo english medium schools na hana A hata moja basi huyo ni kiliza plus plus plus. Hamna changamoto yoyote na bado dogo afeli
Hata dogo awe kilaza namna gani matokeo yake lazima yawe njema kwenye hizo shule.