Hamna mkoa nimewahi kwama kwenye utafutaji kama Singida

Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania.

Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali sana, viwanja vyao vipo na mawe, chakula cha shida pale, wamezoea ugali na mboga za mlenda. Wadada wao sasa hata kupika hawajui, wazuri ila hawana matunzo kabisa yaani afu washamba.

Wanyaturu na wanyiramba samahanini Sijui wachagga wanapataje pesa pale maana asimili 85% ya wafanyabiashara wa ule mkoa wakubwa ni wachagga tena wa kibosho wengi. Wazawa wengi wako kwenye alizeti na vitunguu.

Naamini ipo mikoa mingine kama Singida walio ambulia zero pia. Serikali iangalie namna Singida nao wapate wamezungukwa na mikoa yenye tija wao wapo kati wanafyta mikia.

Wewe umewahi ishi wapi pakakuchosha, yaani hukupata chochote.
Heshimu +254 ndo nchi imenitoa kimaisha
 
kuna jamaa yangu alifungua duka la simu singida mshahara alioambilia ni kufuta vumbi mashelifu mwisho wa mwezi

ila wanyaturu ukitaka kuwapiga za utosi subiri wakishavuna alizeti
 
wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG)
Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Mishe gan unapiga huko kenha mkuu
 
wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG)
Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Hongera mkuu....
 
kuna jamaa yangu alifungua duka la simu singida mshahara alioambilia ni kufuta vumbi mashelifu mwisho wa mwezi

ila wanyaturu ukitaka kuwapiga za utosi subiri wakishavuna alizeti
😅😅😅 kweli....
 
wallah Tena just within two good years of working I managed to buy a plot and build a mansion house in Dsm(nyumba ambayo mastaa wanatamba nazo IG)
Na usafiri wangu tako la nyani sio haba
Kwa ambae hajawai kufika Kenya unaweza kimwelezea kuwa ni nchi ya namna gani kiuchumi wa raia mpambanaji na kijamii? Tunahtaj maon yako tafadhari
 
Back
Top Bottom