muhweza
JF-Expert Member
- Feb 22, 2022
- 980
- 1,387
Kujinenea ni vibayaMiaka ya 2000 Mwanzoni, Urambo Tabora, kuna jamaa alikuwa akiendesha gari ya Halmashauri, mkonga. Alikuwa na mwendo usio wa kawaida. Alikuwa akisema siku mkisikia nimepata ajali, basi mtenge tu msiba.
Na kweli, ajali iliyomkuta, humtazami mara mbili. Alikua akiitwa Chonza kama sijamsahau jina.
Kuna wengine ni wagonjwa wa akili na wana leseni za udereva.