cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,184
- 140,146
Mie hata isiyo halali, nitatoka tyuuh ni lazima.Hii nchi lazima niondoke kwa namna yoyote ile ya halali.
Mie hata isiyo halali, nitatoka tyuuh ni lazima.Hii nchi lazima niondoke kwa namna yoyote ile ya halali.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂😂 .Wabongo tunachukulia maisha marahisi sana kama tumezaliwa ulaya.Alienda kwa njia ya ukimbizi akitokea kambi ya Zimbabwe,akiwa na familia yake,Mke na watoto wanne pamoja na shemeji yake wa kike....aliondoka Tanzania mwaka 2006 kafika Marekani mwaka 2016....kakaa kambini Zimbabwe miaka 10.
Aliondoka Bongo Ana miaka karibu 50.
Leo hii Ana miaka 60+,hakuwa na elimu pamoja na Mke wake,watoto ndio walipofika kule wakaendelea kusoma,Ila kwa Sasa wakubwa wanafanya kazi,watoto wadogo ndio wanasoma.
Alipofika kule walikuwa wanapiga vibarua Ila kwa Sasa yeye Hana uwezo wa kufanya kazi,Mke ndio anaendelea kupiga vibarua...kajenga Nyumba mbili na maduka...Hana elimu yeyote...Hadi Mambo mengine ya huko US anaelekezwa na watu wa huku.
Nakuja kesho.
kuna gharama yeyote mkuuFikeni Goethe Insitute kila alhamisi kuanzia saa 14:00 Hrs mpaka 16:00Hrs. Wanatoa mwongozo jinsi ya kutumia hizi fursa, Ujerumani wana uhaba wa skilled labour. Ninaweka location ya hii taasisi hapa chini
Kupewa mwongozo ni bure, gharama zipo kwenye kuchukua hatua na kufanya maamuzi. Ukifika watakuelekeza jinsi ya kufanikisha safari yako ya kufika Ulaya na gharama zitakazohitajika.kuna gharama yeyote mkuu
Nimewahi kwenda kutembea mara kadhaaUnaishi Singapore? au umewahi kuishi Singapore?
Depends na seasonNauli yake ni sh ngapi ?
Unataka ushauriwe nini mkuu?Tafadhali nishauri mm nin nifanye,
Nina uncle wangu yupo USA, hataki kabisa habari za kumwabia anivute niende alipo(USA)
Nimeongea saana hataki,yeye anagari nne za masafa marefu nilijarib hata kusema nae anifanyie kunisapot hata kwa ghrama za rafiki zake ni wasomali, nikija niwe chin ya mkataba wa hao jamaa zake mpka hapo tutakapo maliza gharama zao walizonitumia mpka nafika USA bado ni mgum kuelewa. Hiv tunavyosema gar mbili zipo uwani na ni nzima ana dai akipata dereva Leo , trip anayorud gari anakuja kupak watu anao wapata hawataki kazi
View attachment 2821962
View attachment 2821979View attachment 2821980
Aaah mpwaaMie hata isiyo halali, nitatoka tyuuh ni lazima.
Tafuta hela kwanza huku huku Nyumbani usichague kazi. Halafu ukipata kama milioni tano mpigie simu uncle umwambie una kianzio akusaidie uende huko. Pia unaweza ukacheki mitandaoni kama youtube, kuna watu wengi wanatoa taarifa za Marekani aina za Visa na jinsi ya kuanza maisha huko. Kuna wakenya, watanzania n.k kama unajua kiingereza vizuri kuna watu wengi youtube wanaweza kukusaidia. Kama hauna elimu au cheti cha taaaluma yoyote hakikisha una hela Maana hakuna mtu atakubali kukupa suppport ya moja kwa moja. Wengi wao waliopo Marekani wakijua hauna hivyo vitu wanaogopa maana wanajua ukifika utakuwa mzigo. Kwa kuwa itakuwia vigumu kubadilisha hadhi ya Visa yako ya Marekani.Tafadhali nishauri mm nin nifanye,
Nina uncle wangu yupo USA, hataki kabisa habari za kumwabia anivute niende alipo(USA)
Nimeongea saana hataki,yeye anagari nne za masafa marefu nilijarib hata kusema nae anifanyie kunisapot hata kwa ghrama za rafiki zake ni wasomali, nikija niwe chin ya mkataba wa hao jamaa zake mpka hapo tutakapo maliza gharama zao walizonitumia mpka nafika USA bado ni mgum kuelewa. Hiv tunavyosema gar mbili zipo uwani na ni nzima ana dai akipata dereva Leo , trip anayorud gari anakuja kupak watu anao wapata hawataki kazi
View attachment 2821962
View attachment 2821979View attachment 2821980
Ahsante mkuuFikeni Goethe Insitute kila alhamisi kuanzia saa 14:00 Hrs mpaka 16:00Hrs. Wanatoa mwongozo jinsi ya kutumia hizi fursa, Ujerumani wana uhaba wa skilled labour. Ninaweka location ya hii taasisi hapa chini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kama unawazia kuingia uko kwa njia hiyo,ni lazima utafia bongo.andaa kwanzia M2 ya bongo hapo ni Dubai,au M5 kwa ulaya,Napo upate mtu uko,au M10 uende ukiwa umekamilika bila changamotoMimi nahitaji kwenda nje kupitia agent then nikipata kazi atadeduct gharama zake alizotumia.
Uko wapi saivi ndugu,upo Germany?Kama upo uko na bado haujabadilika Sana nisaidie barua ya mualiko tu,alafu visa na tiketi nijuu yangu,alafu unisaidie kuniifadhi wiki tu,na nkifanikisha ntakulipa gharama hata Mara mbili ya utazotumia ,maana napata kazi nyingi uko,ila naambiwa niende kwenye interview hapo ndo nakwama.Tafuta hela kwanza huku huku Nyumbani usichague kazi. Halafu ukipata kama milioni tano mpigie simu uncle umwambie una kianzio akusaidie uende huko. Pia unaweza ukacheki mitandaoni kama youtube, kuna watu wengi wanatoa taarifa za Marekani aina za Visa na jinsi ya kuanza maisha huko. Kuna wakenya, watanzania n.k kama unajua kiingereza vizuri kuna watu wengi youtube wanaweza kukusaidia. Kama hauna elimu au cheti cha taaaluma yoyote hakikisha una hela Maana hakuna mtu atakubali kukupa suppport ya moja kwa moja. Wengi wao waliopo Marekani wakijua hauna hivyo vitu wanaogopa maana wanajua ukifika utakuwa mzigo. Kwa kuwa itakuwia vigumu kubadilisha hadhi ya Visa yako ya Marekani.
Ndugu yangu kuna kazi ambazo ziko Visa sponsored kama umekwama fika Goethe institute watakushauri. Interview zinafanyika online hata huku pia since Corona watu wanatumia Microsoft Teams na Zoom kufanya interview. Kusema kwamba umeitwa physically kwenye interview wakati wanajua upo Tanzania inaonesha kuwa bado hauja-apply kazi.Uko wapi saivi ndugu,upo Germany?Kama upo uko na bado haujabadilika Sana nisaidie barua ya mualiko tu,alafu visa na tiketi nijuu yangu,alafu unisaidie kuniifadhi wiki tu,na nkifanikisha ntakulipa gharama hata Mara mbili ya utazotumia ,maana napata kazi nyingi uko,ila naambiwa niende kwenye interview hapo ndo nakwama.
Kwa nini?Hii nchi lazima niondoke kwa namna yoyote ile ya halali.
Hizo kazi nazijua,ila naelewa ilivyo ngumu kupata kazi ukiwa africa.mimi nachoomba kwako ni barua ya mualiko tu na msaada wa kuniifadhi ntapofika,na ntakulipa hata Mara 2,je waweza nisaidia?Ndugu yangu kuna kazi ambazo ziko Visa sponsored kama umekwama fika Goethe institute watakushauri. Interview zinafanyika online hata huku pia since Corona watu wanatumia Microsoft Teams na Zoom kufanya interview. Kusema kwamba umeitwa physically kwenye interview wakati wanajua upo Tanzania inaonesha kuwa bado hauja-apply kazi.
Kaka huku ujerumani iliwe uwe na uwezo wa kutoa barua ya mwaliko inabidi uwe na nyumba kubwa kidogo na pia uwena uwezo kiasi wa kifedha. Kwa sasa mimi ni mwanafunzi pia nina intern, na ninaishi kwenye studio apartment. Kwa hio sina vigezo vya kukupa barua ya mwaliko.Mimi
Hizo kazi nazijua,ila naelewa ilivyo ngumu kupata kazi ukiwa africa.mimi nachoomba kwako ni barua ya mualiko tu na msaada wa kuniifadhi ntapofika,na ntakulipa hata Mara 2,je waweza nisaidia?