Jana waziri wa fedha akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya 2014/2015 pamoja na mambo kadhaa yanayoleta utata, alirejea kwenye sintofahamu iliyowasilishwa na Mgimwa katika bajeti ya 2013/2014 na kukataliwa na TRA baada ya kuona haikuwa na tija kiuchumi na hata kimazingira. Haihitaji madarasa saba...
Mbunge alipohoji 1.5bil za kulipia pango la ofisi za wizara kwa mwaka mmoja alikuwa na pointi kubwa sana tena sana ya kulisaidia taifa la Tanzania.
Hiyo pesa ni kubwa sana kiasi kwamba wizara inaweza kujenga majengo yake na vituo vya michezo kadhaa, lakini mbunge alipohoji haya matumizi Ana...
NMB ni Benki nzuri iliyoenea Tanzania na kwa maana hiyo ni kimbilio la wananchi wa kawaida na wenye kipato cha chini. Pamoja na hayo kuna baadhi ya kero ambazo si za lazima lakini baadhi ya watumishi wa NMB wanazifanya kuwa za lazima na hivyo kutufanya wateja wake kupoteza muda mwingi kutatua...
Naomba wenye uzoefu na haya magari wanisaidie ni gari ipi iko comfortable na operating/running cost ipo chini ukiachilia mbali matumizi ya mafuta. Magari ni kati ya Toyota Land cruiser Prado RZJ95/VZJ95 au Mitsubishi Outlander au Jeep charokee renegade GH-KJ37. Nahitaji SUV ambayo ina nguvu na...
Naomba wenye uzoefu na haya magari wanisaidie ni gari ipi iko comfortable na operating cost ipo chini ukiachilia mbali matumizi ya mafuta. Magari ni kati ya Toyota Land cruiser Prado RZJ95/VZJ95 au Mitsubishi Outlander au Jeep charokee renegade GH-KJ37. Nahitaji SUV ambayo ina nguvu na inafika...
Jamani naomba kuuliza kama gari kama Toyota corona Premior au Verossa yenye injini ya D4 kama ina matatizo katika uendeshaji. nataka nijue kama iko safi kwa matumizi.
WanaJF nasikia Tume ya Usimamizi na udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi za jamii (SSRA) mnamo tarehe 27/07/2012 walitoa tangazo kwa umma lililokuwa likiwalenga wanachama wa zamani wa mifuko ya hifadhi za jamii kabla ya marekebisho ya sheria ya April 2012. Kama kuna mwenye data lilikuwa linasemaje...
WanaJF,
Baada ya kufanikiwa katika maandalizi ya kilimo sasa nimefikia kubuni biashara sambamba na kilimo. Katika harakati za kutafuta biashara ya kufanya nimefikia uamuzi wa kuanzisha biashara ifuatayo:
(i) Nguo za watoto kati ya 0-12yrs na mahitaji yao mengine lakini pia nikijumuisha pamoja...
MASWALI MBALIMBALI YALIYOULIZWA KUHUSU KILIMO HIKI
Ndugu wana JF,
Naomba kama kuna mtaalamu wa kilimo anisaidie ili nifahamu makadirio ya kiasi cha mavuno ya mpunga katika ekari moja katika kilimo cha kisasa ili tujipange kutekereza sera ya kilimo kwanza!
Naomba pia kufahamu sehemu ambazo...
Nimesikia kuwa kuna uwezekano wa binti kufikia kupata mtoto wakati hakuwahi kushuhudia bikraa yake ikitolewa? Je, hili lina ukweli? na ni mazingara gani yanaweza kusababisha hali hii itokee pasipo ajali yeyote?
Naomba nifahamu ghorofa standard yenye urefu wa mita 20 na upana wa mita 10 inahitaji nondo za aina ngapi na kwa idadi ipi ili kukamilisha ile level ya kwanza tu bila kuhusisha zile zilizoko katika foundation na beam. Hapa nataka nifahamu idadi ya nondo kwa kila 10 or 20square meters ya 1st...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.