Jana katika ufunguzi wa mashindano ya Commonwealth mwanamuziki John Barrowman alionekana akimbusu mwanaume mwenzake mbele ya washiriki wote wa mashindano haya,je Tanzania tunakubaliana na hili?
Furaha ya siku ya wapendanao wadau,
Leo usiku nimekutana na kitu ambacho mpaka sasa nashindwa kuamini kama kimetokea.
Nikiwa nimelala na mama watoto huku nikiwa nimemkumbatia kama kawaida yangu,
Ghafla nikajikuta nipo peke yangu,nikakaa kama dakika tatu hivi nikimsubiri arudi lakini sikuona...
Leo niliamua kupitia blog ya Ikulu na kukutana na kukutana na mshangao,yaani hakuna updates zozote tangu tarehe 14 May 2013?Hivi hawa watu walioajiriwa na Ikulu kufanya kazi hii wanafanya kazi gani?Tunaposema Serikali haipo makini tunakuwa hatukosei na mifano ndio hii tunayoiona kila siku.Huu ni...
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM,Salma Kikwete aligoma kushuka kwenye gari kwenda kuhudhuria mkutano wa ndani wa chama ambao ulikuwa umepangwa kufanyika katika chumba cha darasa la shule ya msingi,akisema kuwa si sahihi mkutano wa chama kufanyika katika darasa la shule ya serikali...
Leo nimeamka asubuhi na mke wangu,cha kushangaza ni kukuta amechanjwa chale mapajani yaani kila paja chale mbili.
Tumejaribu kujadili ni nini hasa kimetokea tunashindwa kujua,sisi ni wacha Mungu na huwa tunasali kabla ya kulala na hata katika maisha yetu ya kila siku tunamtanguliza Mungu.
Wadau...
Siku ambayo JK anakuja Arusha wana CHADEMA waandae mabango ya kutosha na kwenda uwanjani kama kawaida,JK akiingia tu uwanjani anakutana na mabango na baadae watu wanatoka mmoja mmoja kama walivyofanya wabunge bungeni.mnaionaje hii wadau?
Napata shida sana kuelewa kuhusu chama hiki kudai kuwemo katika kambi ya upinzani wakati huo huo kwa upende mwingine ni watawala tena wakitawala pamoja na CCM Zanzibar.Je wana uhalali wa kuwa katika kambi ya upinzani?
Wana JF leo majira ya saa tano jamaa kamfumania mkewe akila tunda na mdogo wake,jamaa kaamua kuhama na kuwaachia kila kitu waendelee,imekaaje hii wadau?
Nina rafiki yangu na alikuwa katika mahusiano na dada mmoja ambaye wakati huo alikuwa na boyfriend wake ila bado walikuwa hawafikia kuwa wachumba,pia rafiki yangu huyu nae ana mwanamke wake ambaye wamedumu kwa muda mpaka sasa.
Tatizo ni kwamba huyu dada anaolewa mwisho wa wiki hii huku akiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.