Napata shida sana kuelewa kuhusu chama hiki kudai kuwemo katika kambi ya upinzani wakati huo huo kwa upende mwingine ni watawala tena wakitawala pamoja na CCM Zanzibar.Je wana uhalali wa kuwa katika kambi ya upinzani?
Cuf si chama cha upinzani bali ni malaya anayebabaika kila akiona bwana amefanikiwa anataka kubadili mabwana bila hata kuachana na bwana wake wa kwanza. Anapenda kupata mafanikio kwa kutumia mabwana.
Cuf ni kama malaya mzee anayeshobokea kila mwanamume na ukimtosa anaanza visa hoo jamaa jogoo hapandi mtungi,sijui mchoyo,sijui hana lolote wakati alikuwa ashakuvulia we ukamtosa ukaona kitu gani bull shit kwanza bibi tu huyu na we unamind kina sidanganyiki.
cuf ni sawa na shoga malaya,shoga malaya halitosheki na wanaume,linalazimisha wanaume ,na lipo tayari kugharimia pambano(kuchapwa) ili mradi tu nafsi ifurahi.
ama kweli chama cha wananchi ni sawa na sawa na shoga malaya,tena la mombasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.